Nanunua nguo kila ninapokutana na machinga hata kama sizihitaji, nifanyeje kuondokana na tabia hii?

Nanunua nguo kila ninapokutana na machinga hata kama sizihitaji, nifanyeje kuondokana na tabia hii?

Bora wewe rafiki, mwenzio nikikaa bar kila kitu cha kula kikipita ninacho ndiyo maana toka nianze kulewa sina kumbukumbu siku gani sijaondoka bar tumbo likiunguruma kama mashine ya mahindi .😭
Ila weye wapunguzie wahitaji na punguza tamaa ya mavazi utakufa utayaacha
Ila ww kiriba tumbo utaenda nacho kwakweli
 
Nani mwingine ana zoea kama la kwangu la kununua nguo kila unapoletewa na mtembezaji. Nikikaa home naona nimejaza sana nguo hata ambazo sizivai masanduku Kwa makabati Mpaka chumba kinageuka kero kinanuka nguo(mitumba hasa +dukani).

Kila nikitaka kuzigawa nashindwa nianzie wapi ama nimpe nani na hata kama nikimpa mhitaji siku moja moja awe mnywaji mwenzangu au mzoa taka basi nitaishia kumchagulia dosho kadhaa moja au mbili na sio nguo kali ya fashion zile nzuri zinazoita ingawa sizivai hata mwaka mzima.

Kugawa imekuwa ni kama nataka, sitaki maana kuna kipindi unachafua nguo zote zile code za kwendA ila bado unakuwa na mzigo wa akiba still unatoka nazo Safi kwenye mishe.

Sasa cha ajabu najua Nina nguo kibao ila bado Nikikaa bar au kitaa ikaletwa nguo naiona kazi nzuri hii lazima nilipe hela.

Hii sijui tunaita ulafi, uchoyo au roho mbaya au ubinafsi Kwa maana akili Kiukweli inataman jambo moja niwe na nguo chache ila nzuri na mambo yataenda tu fresh mfano form six zako kali 5,jeans na cardet 10 kali, t shirt 5, boxer 10 kali.

Inakuwa imeisha Sasa Mara makanzu kibao, makoti kibao, ma suruali ya mwaka juzi, mashati ya 2021. Chumba kinatia Mpaka uvivu kupumzika Kwa utuli.
Nani mwingine ana zoea kama la kwangu la kununua nguo kila unapoletewa na mtembezaji. Nikikaa home naona nimejaza sana nguo hata ambazo sizivai masanduku Kwa makabati Mpaka chumba kinageuka kero kinanuka nguo(mitumba hasa +dukani).

Kila nikitaka kuzigawa nashindwa nianzie wapi ama nimpe nani na hata kama nikimpa mhitaji siku moja moja awe mnywaji mwenzangu au mzoa taka basi nitaishia kumchagulia dosho kadhaa moja au mbili na sio nguo kali ya fashion zile nzuri zinazoita ingawa sizivai hata mwaka mzima.

Kugawa imekuwa ni kama nataka, sitaki maana kuna kipindi unachafua nguo zote zile code za kwendA ila bado unakuwa na mzigo wa akiba still unatoka nazo Safi kwenye mishe.

Sasa cha ajabu najua Nina nguo kibao ila bado Nikikaa bar au kitaa ikaletwa nguo naiona kazi nzuri hii lazima nilipe hela.

Hii sijui tunaita ulafi, uchoyo au roho mbaya au ubinafsi Kwa maana akili Kiukweli inataman jambo moja niwe na nguo chache ila nzuri na mambo yataenda tu fresh mfano form six zako kali 5,jeans na cardet 10 kali, t shirt 5, boxer 10 kali.

Inakuwa imeisha Sasa Mara makanzu kibao, makoti kibao, ma suruali ya mwaka juzi, mashati ya 2021. Chumba kinatia Mpaka uvivu kupumzika Kwa utuli.
Punguza kukaa na wanawake, wanakuambukiza tabia za kike kike
 
Sasa wale wanaume wa chugga ile mindula na minguo wanaishi nayo vipi ndani?? Unaona kavaa bonge la buyu oversize akitaka kuvua aingie ndani unamwambia,
“Usivue chalii angu we zama tu haina kwere tutasafisha man” 😂😂😂
 
Ila ww kiriba tumbo utaenda nacho kwakweli
Nina mtumbo mkubwa utasema nina mimba nimejaza roller chumbani kwangu basi kila nikiamka napiga tumazoezi twa hapa na pale lakini ngoma bado bilabila .
Mazoezi yenyewe nataka niache maana hayanisaidii chochote zaidi ya kusababisha chumba changu kinuke majasho na harufu za ghafla.
 
Wewe Dada Umenifanya ñicheke Kwa Sauti😂😂😂mbona mnawaonea Sana Ma bodaboda Jamani! Nadhani haujawahi KUKUTANA na walio Smart!! Kuna Kaka Alikuwa Bodaboda wangu Nzega,Alikuwa Smart Sana utafikiri mtu wa Ofisini Yaani
Hapo sawa, na ndio maana nimesema sio wote, ni baadhi!
Ila si unajua samaki mmoja akioza.....
 
Labda halali na boxer[emoji3][emoji3][emoji3]
...kuna mmoja alisema anaogopa popobawa ndio maana analala na boksa.
Nikasema popobawa anapita nayo hiyo boksa.
Labda kweli halali na boksa, tho hazichafui
 
Back
Top Bottom