Nanusa harufu ya matukio

Nanusa harufu ya matukio

Wakuperuzi

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2023
Posts
2,348
Reaction score
5,841
je! inawezekana vp mtu kuendelea kutumia wtsp na kupost stutus mf hta mpka sa 8usiku while lst seen yake inanionyesha ni sa2? hta ukimtxt labda sa 3usiku utakutna na jbu asubuhi na atakuambia nimekujibu toka jna labda mtndao.
Najua kwl mtandao unaweza kusumbua lkn inwezekena vp kuendelea kuona stutus na zote ni huduma za wtsp hiyohyo au iko tofauti
 
je! inawezekana vp mtu kuendelea kutumia wtsp na kupost stutus mf hta mpka sa 8usiku while lst seen yake inanionyesha ni sa2? hta ukimtxt labda sa 3usiku utakutna na jbu asubuhi na atakuambia nimekujibu toka jna labda mtndao.
Najua kwl mtandao unaweza kusumbua lkn inwezekena vp kuendelea kuona stutus na zote ni huduma za wtsp hiyohyo au iko tofauti
Tafuta hela mkuu
 
Anataumia GB WhatsApp baada ya kuwanae au kabla...hapo ndio swali la msingi kama ulimkuta na GB then unaingilia life style zake.

Alafu kingine anatumia GB hata hajui kama kaweka feature fulani normal sijui kuficha last seen hadi mwengine amwambie ndio akumbuke...Just feature zipo na mtu anatumia hata akiwa yupo Single tatizo ni pale kuzihusishanisha na masuala ya mahusiano.
 
Anataumia GB WhatsApp baada ya kuwanae au kabla...hapo ndio swali la msingi kama ulimkuta na GB then unaingilia life style zake.

Alafu kingine anatumia GB hata hajui kama kaweka feature fulani normal sijui kuficha last seen hadi mwengine amwambie ndio akumbuke...Just feature zipo na mtu anatumia hata akiwa yupo Single tatizo ni pale kuzihusishanisha na masuala ya mahusiano.
Shukrani mkuu na inawezekana kufix kuirudisha kawaida sababu yy mwenyewe anasema hajui shida ni nn
 
je! inawezekana vp mtu kuendelea kutumia wtsp na kupost stutus mf hta mpka sa 8usiku while lst seen yake inanionyesha ni sa2? hta ukimtxt labda sa 3usiku utakutna na jbu asubuhi na atakuambia nimekujibu toka jna labda mtndao.
Najua kwl mtandao unaweza kusumbua lkn inwezekena vp kuendelea kuona stutus na zote ni huduma za wtsp hiyohyo au iko tofauti
Are you still high unto sky,fella?Leo umeandika mwandiko wa ajabu sana.
 
je! inawezekana vp mtu kuendelea kutumia wtsp na kupost stutus mf hta mpka sa 8usiku while lst seen yake inanionyesha ni sa2? hta ukimtxt labda sa 3usiku utakutna na jbu asubuhi na atakuambia nimekujibu toka jna labda mtndao.
Najua kwl mtandao unaweza kusumbua lkn inwezekena vp kuendelea kuona stutus na zote ni huduma za wtsp hiyohyo au iko tofauti
Shida inakuja soon jitambue mapema
 
Uandishi wa Z-generation

kutumia wtsp na kupost stutus mf hta mpka sa 8usiku while lst seen yake inanionyesha ni sa2
Mkuu nazn umenielew ,
Kama network yake ina shida ujipe muda tuu itakuw sawa ila hali ikiwa endelevu ni ishahar tosha kuw si kama zamn ulivyokuwa
 
Back
Top Bottom