⚫ Ukiona alama hii ✔️ maana yake Ujumbe Umepokelewa
⚫ ✔️✔️ Maana yake Ujumbe Umefika.
⚫ Alama ✔️✔️ za buluu
Maana yake Ujumbe Umesomwa
⚫ Alama✔️✔️✔️ za buluu
Maana yake Serikali imechukua Note ya Ujumbe
⚫ Ukiona alama mbili za buluu✔️✔️ na Nyekundu Moja ✔️
Maana yake Serikali inaweza kuchukua hatua dhidi yako.
⚫ Ukiona alama moja✔️ ya buluu na Nyekundu Mbili✔️✔️
Maana yake Serikali inachunguza Taalifa Yako.
⚫ Ukiona alama Tatu Nyekundu✔️✔️✔️
Maana yake Serikali imeanza kuchukua hatua dhidi yako na utapata wito wa Mahakama punde.