Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kufwatilia status zake, last seen zake nk, wasiliana kwa simu au meseji za kawaida, la sivyo utakipata unachokitafutaje! inawezekana vp mtu kuendelea kutumia wtsp na kupost stutus mf hta mpka sa 8usiku while lst seen yake inanionyesha ni sa2? hta ukimtxt labda sa 3usiku utakutna na jbu asubuhi na atakuambia nimekujibu toka jna labda mtndao.
Najua kwl mtandao unaweza kusumbua lkn inwezekena vp kuendelea kuona stutus na zote ni huduma za wtsp hiyohyo au iko tofauti
dah lkn ni mwenzangu huyu ujueAcha kufwatilia status zake, last seen zake nk, wasiliana kwa simu au meseji za kawaida, la sivyo utakipata unachokitafuta
mkuu uko sahihi leo ktk pitapita zngu nimeibumia milioni huwez amini nimesahau kabisa hii hbar kweli tutafute helaTafuta hela mkuu
ntaujua tu ukwel njia ya muongo ni fupiAnakudanganya huyo
Business whatsap Ni kama gb Whatsapp?Aifute, atumie official wasap.
Ama business wasap
ni muhimu kwa sababu ni wapenzi km si muhimu awe muwazi tu siwez kumhisi wala kumsumbua tenaKwani lazima akujibu? Muda wa kazi ni hadi jioni hiyo usiku ni emergency
dah inawezekana pia hiiBana hupendwi. Yan apost status saa 8 afu asifike inbox kujibu sms ya saa 3?
nimeshatoa muongozo masubir utekelezajiAifute, atumie official wasap.
Ama business wasap
inawezekana lkn bdo nina imani nikiacha changamoto hii sioni madhaifu yake upande mwingine zaidi ya yale ya kibinadamuNi rahisi mtu kufika inbox afu asifike upande wa status. Sasa wifi hapa ye anaenda status bila kupita inbox?
Wifi hampendi kaka
Kaka ajiongeze tu achape mwendo
inawezekanaShida inakuja soon jitambue mapema
dah bado nina imani nayeHaupendwi mkuu, kubali tu yaishe. Ukishaanza kuwa mpelelezi kwenye hayo maswala, mwisho mbaya unakuita
inawezekanaHakupendi huyo periodt
Hapana. Ni kama official whatsapp tuBusiness whatsap Ni kama gb Whatsapp?
Kila la heri mkuuntaujua tu ukwel njia ya muongo ni fupi
🤣🤣🤣Sio siri wewe una shida mahalimkuu uko sahihi leo ktk pitapita zngu nimeibumia milioni huwez amini nimesahau kabisa hii hbar kweli tutafute hela