Naogopa kumueleza Mke wangu ukweli kwamba nilichepuka

Naogopa kumueleza Mke wangu ukweli kwamba nilichepuka

Hivi wanawake mnawachukulia Poa kwa kiasi gani kwa mfano?

Mnawachukulia kama watoto au wakubwa wenzenu?

Kwa hiyo ukikataa kosa wakati amekukamata na ushahidi unazani ndio itasaidia au sana sana utamuongezea hasira na kujua kuwa mtu wa kukataa kosa ni sawa na muuaji?

Kirahisi tu eti kataa kosa! Halafu mkeo akuelewe?!
Mkuu wewe kataa muambie yupo ndotoni. Kataa kabisa KATAA KABISA
 
nenda kituo cha polisi ampigie simu huyo mkeo zen amwambie ulilala hapo ulikamatwa jana katika sehem kulikotokea yenye vurugu. pia hilo la kuchepuka usimwambie kbsaa ww ni wa kiume bana zen nenda hopistal kacheki afya.
 
Back
Top Bottom