Naogopa kutendwa

Naogopa kutendwa

You Dont Have To Be Lonely Dear,
Coz Finally, Broken Hearted Lady, Will Meet Broken Hearted Gentlmen Like Me So That Will Be Bond Together As Romeo & Julliet

Will Be No More Pain!,
No More Cry!
I'll Cherish You 4ever N Ever! Me & U karrythas
 
Last edited by a moderator:
Naitwa karry,nna miaka 23,binti wa kitanzania mwenye rangi ya maji ya kunde na urefu wa fut 5...nywele urefu wa mabega, si mnene wala mwembamba, sio mrembo lakini navutia,sina mpenz wala mchumba,sina mtoto wala sijawai ishi na mwanaume...nina elimu ya diploma katika maendeleo ya jamii.Napenda kusikiliza na kucheza mziki,kucheza volleyball na netball, pia napenda utani.
Nina matatizo ya kuogopa mahusiano, kila ninapopata rafiki wa kiume,hua nahisi anani cheat,....hii ilitokea nilipomwona mpenz wangu wa1 akiwa kitandani na rafiki yangu wa karibu
Sipendi kuishi nikiwa mpweke lakin kwa upande mwingine naogopa kuwa na mpenz.....
Naomben ushauri,.. nifanye nini?..
hi mambo, kama kweli una nia naomba ni pm nakiuahidi sitakuangusha ntakufariji. mpaka utakapoona inatosha kwa moyo wako pia pole kwa tatizo linalokusibu
 
ni PM na Mimi maana naona watu wote imekuw pm na Mimi twende huko pm
 
Una umwa wewe tamaa zako zitakutumbukiza chooni.
 
Bado binti mdogo halafu unatafuta mabwana kwenye social network ina maana mtaani kwenu hutongozwi au ndo unataka ladha ya wanaume wa jf
 
Ila ukiona mwanamke anatafuta mabwana jua Kwamba ameshindikana na kaona hutongozwi kwa sababu ya tabia yake
 
Back
Top Bottom