Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
definition ya mke sahihi ndio maisha ya mama yako.Jamani wewe🥺🥺😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
definition ya mke sahihi ndio maisha ya mama yako.Jamani wewe🥺🥺😂
Ni kwamba una penda vibonge au ni kiburi tu mkuu?Kwa Leo naishia hapa, wiki ijayo tasoma comments zingine
Sipendi vibonge ila kwa uzito sheikh hata akienda clinic itabidi kadi ziwe mbili yake na ya mtoto....naona kbs majukumu yatakua mengiNi kwamba una penda vibonge au ni kiburi tu mkuu?
Sasa dada kwa uzito huo upepo vya kushika vipo kwel? au ndo uzuri wa mtu upo ndaniKwanini mkuu🤒😂😂
Huo ndio uzito sahihi wa vibinti vigori kama hivyo au umezoea mashangazi bwashe?Sipendi vibonge ila kwa uzito sheikh hata akienda clinic itabidi kadi ziwe mbili yake na ya mtoto....naona kbs majukumu yatakua mengi
Abeeeehdefinition ya mke sahihi ndio maisha ya mama yako.
Usiogope, muhimu Mungu akusaidie upate mwenza kama mimi ambaye ni very helpful ktk majukumu yooote ya nyumbani.Bado niko early 20s
Mi mishangazi apana aisee inahitaji moyo, ila sema kwa uzito huo huyu mwembamba sanaHuo ndio uzito sahihi wa vibinti vigori kama hivyo au umezoea mashangazi bwashe?
Ndivyo ma miss wanapaswa wawe hivyo bro.Mi mishangazi apana aisee inahitaji moyo, ila sema kwa uzito huo huyu mwembamba sana
Unamaanisha mimi ni mshangazi?🤸Huo ndio uzito sahihi wa vibinti vigori kama hivyo au umezoea mashangazi bwashe?
Kwa mwanamke kitu kibaya ni kitambi tu mengine tunaishi nayoNdivyo ma miss wanapaswa wawe hivyo bro.
Wewe sio mshangazi , wewe ni miss mwashamba, kurata la kihaya lenye guu lake la shampen mijin apa.Unamaanisha mimi ni mshangazi?🤸
Anawapenda sana wanae.Sio kama siwezi kufanya mkuu,. Naweza kila kitu hadi kufyeka shuleni nilikua nafyeka🤒😬,.
Hataki tumsaidie
Umesema 50kg ndio mamiss sisi wengine mishangazi nimelia sanaWewe sio mshangazi , wewe ni miss mwashamba, kurata la kihaya lenye guu lake la shampen mijin apa.
Duh yani nikionaga hivyo alafu nikikumbuka kitambi ni juhudi za mtu binafsi huwa nasikia hasira sana.Kwa mwanamke kitu kibaya ni kitambi tu mengine tunaishi nayo