Naogopa kuwa mama

Ooh jamani🥺🥺
 
Mb
Mbna Kama mama angu huyo kbsa mama hat ng'ombe apige tekea ukuta saa nane za usku lzma aamke bas ahata ukinyata kwenda kukojoaa utasikia anauliziaa wee Nani , Basi hat ukitaka kisafiri saa kumi na moja yey atamka kabla yako
Sijui hua wanalalaga saa ngapi yani
 
Hua tu nawaza anapumzika mda gani, isije ikatakiwa na mimi niwe hivyo uwiii😬😬
 
Kama hiki ulichokieleza hapa ni ukweli basi Kwakweli ww atakaekuja kukuoa atapata tabu sana yaani atakua na bahati mbaya labda ubadilike huko mbeleni kitu ambacho kwasasa ni kigumu.
Hapana hatapata tabu, kwasababu mimi sio mvivu🥺🥺
 
Ni kwamba anajali kupitiliza na hapendi kusaidiwa kazi,,. She is a good woman at all
But naogopa maana nahisi sitaweza kuwa kama yeye🥺
 
Asante kwa ushauri mzuri rafiki, ubarikiwe sana
 
Hujawahi kufua wala kupika wala kufagia uwanja wala kuosha vyombo wala kudeki.

Mmemgeuza mama yenu punda? Kumsaidia kazi mnasubiri hadi awaambie?

Mitoto ya hovyo na mivivu! 😎

-Kaveli-
Sio kweli bhana, sisi sio wavivu,
Mama hapendi kusaidiwa, unaweza ukajioshesha vyombo na akaja kurudia vyote, au unaweza ufue akaja kurudia tena
So naogopa maana kuwa kama yeye najiona kabisa sitaweza
 
We sio wife material
 
Sio kweli bhana, sisi sio wavivu,
Mama hapendi kusaidiwa, unaweza ukajioshesha vyombo na akaja kurudia vyote, au unaweza ufue akaja kurudia tena
So naogopa maana kuwa kama yeye najiona kabisa sitaweza

ok.

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…