Naogopa kuwa mama

My dear ogopaaa
 
Mama yangu hapendi kusaidiwa.. Baba kashaleta wasaidizi hadi amechoka saizi, hapendi kusaidiwa kabisa
Ndio nikasema kila familia inalea kwa namna yake and its fine, japo wasiwasi wangu ni namna ambavyo nyie mtaishi mkitoka home. Kama mzazi ni lazima awape wanaoishi ndani kwake majukumu, anaweza kuwa "machine" lakini akatengeneza bomu la watoto kwa baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…