Naogopa kuwa mama

No offense intended, kule kwetu bush kulikuwa na bibi mmoja analima balaa, nyie mnaenda shamba kama familia watu 6 mpaka 8 lakini hamuwezi kulima eneo mkamzidi, mkilima hekari moja yeye unakuta kalima zaidi ya hekari. Imagine na yuko peke yake.
 
Ngoja nianze weekend hii mkuu.. Ubarikiwe sana kwa ushauri mzuri
 
Huenda ni kweli unayoyasema aisee🤔🤔🤔
Mimi nimeitazama kwa jicho la mbali sana.
Ukifika umri wangu utanielewa.
Mama yako hayuko sawa, its not even something to be proud of!
I am 42, nina binti wa early 20's been married for almost 18 yrs before now, so hiki ninachokwambia kifanye kazi!
Your mother might be living a hell.
Wewe ni mkubwa, msogelee zaidi ya kuona ni sawa na kujifikiria unatakiwa kuwa kama yeye ukiwa a mother !
Hata wewe hupaswi kuwa hivyo kwa watoto wako!
 
Halafu kuwa mama hakuna formula kwamba lazima uishi kama alivyoishi mamako
Ukiwa na pesa utaweka wasaidizi wa kutosha na wewe utaishi utakavyo
Hakuna tuzo ya mtesekaji bora mwaego
 
What a wise lady🌹.. Mungu akubariki sana aisee, hope ni mama bora sana kwa wanao
 
Ukikuta mama mwenye gubu
Unamaliza kufanya usafi anakuja anarudia upya 😀
 
Acha uvivu, kwetu TANZANIA hatunaga watu wavivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…