Naogopa kuwa mama

Naogopa kuwa mama

Af kuna mama mimi.
Wanangu wenyewe wanajua mama yao hafanyagi kazi za ndani zaidi ya kupika weekend na kutunza maua na miti yake.
Nilisema nimeshafanya my share ya kazi za ndani, muda wangu uliobaki nitaajiri au watafanya watoto.
Huyo mama yenu kuna kitu anakimbia humo chumbani kwa mumewe.
 
Ndio nikasema kila familia inalea kwa namna yake and its fine, japo wasiwasi wangu ni namna ambavyo nyie mtaishi mkitoka home. Kama mzazi ni lazima awape wanaoishi ndani kwake majukumu, anaweza kuwa "machine" lakini akatengeneza bomu la watoto kwa baadae.
Sisi sio wavivu mkuu, kwasababu hata akisafiri hua tunafanya kila kitu wenyewe na nyumba inakua vizuri sana.. Tatizo ni kwamba hataki kusaidiwa na ameshamark kwamba kila kitu anatakiwa afanye mwenyewe..
Hicho ndo kinaniwazisha nitakapokuja kuwa mama itabidi niwe nafanya kila kitu mwenyewe
 
Af kuna mama mimi.
Wanangu wenyewe wanajua mama yao hafanyagi kazi za ndani zaidi ya kupika weekend na kutunza maua na miti yake.
Nilisema nimeshafanya my share ya kazi za ndani, muda wangu uliobaki nitaajiri au watafanya watoto.
Huyo mama yenu kuna kitu anakimbia humo chumbani kwa mumewe.
Mmh🤔🤔
 
AF watu mnafanya kazi bado mnakaa kwa wazazi?
Hamuoni kuwa kuwepo kwenu hapo nyumbani ni namna nyingine ya kumchosha huyo mama?
Mi wanangu wakitoka chuo, wakajitegemee huko.
Mmoja kashaanza, we mi nataka kuwa spoiled now mambo ya kulea mijitu mizima in the name of being a Mother sitaki!
 
Natumai wazima wote,.

Iko hivi, kila siku zinavyoenda ndivyo ambavyo naogopa kuja kuitwa mama hapo baadae( Mungu anisaidie niondokane na hii hofu😓🥹🙏), hiii inatokana na lifestyle ambayo namwona mama yangu anaishi..

Huyu mwanamke sielewi hua anapumzika mda gani, yeye ndie mtu wa mwisho kulala kila siku. Yaani hawezi kulala kama kuna mtu bado hajaingia nyumbani, na anahakikisha kila mtu amekula amelala anafunga milango ndipo na yeye alale., Na hata akiingia kulala halitapita nusu saa anapita tena vyumba vyote kuhakikisha mmefunga madirisha, mmeshusha neti na mmejifunika vizuri ( anaweza akaamka hata mara 4 kwa usiku mmoja)..

Haitaishia hapo, Bado kuna sisi ambao inabidi asubuhi tuende kazini na wengine shuleni, wanaoamka usiku kusoma na wanaoamka kusali, kila mtu anamtajia mda wake wa kumwamsha hajawahi kukataa wala kupitiliza kutuamsha, always anakua on time… , Sijawahi kushuhudia ni saa ngapi ameamka ila kila tukiamka asubuhi tayari tunamkuta akiwa macho, kashafanya usafi na kashapika chai tunakunywa tunamwacha Nyumbani,. Hatujawahi kuona au kushuhudia akilala mchana, Labda itokee anaumwa ( Napo ni mara chache sana ).. Sijui hua anapumzika mda gani

Hajawahi kuishi na msaidizi wa kazi maisha yake yote, lakini hakuna aliyewahi kufua, kudeki , kupika, kuosha vyombo wala kufagia. Sio kwamba hatutaki kumsaidia Hapana, ni kwamba hatujawahi kuona uwanja ukiwa mchafu, vyombo vichafu na mda wowote ukirudi nyumbani unakuta chakula tayari na usafi wote ushafanywa na nguo zote ziko kambani zinakauka,,..

Licha ya hayo yote vilevile bado hajawahi kuacha kwenda kazini na shughuli zake nyingine zote za ujasiriamali hajawahi kuacha kufanya, hajawahi kuacha kwenda kwenye jumuiya wala kanisani hata jumapili moja, na kwenye dharura zote iwe hospitali au kikao chochote atakachohitajika mzazi awepo basi ni yeye ndio atakuwepo tena kwa wakati.. Na sijawahi kumwona akilalamika, akinung’unika wala akimlaumu mtu kwamba hakuna anayemsaidia kazi hata siku moja,..

Haya maisha yake yananiogopesha na yananifanya niogope hata kuwaza jinsi nitakavyoishi na watoto wangu huko mbeleni., Sometimes i wish ningekua wakiume labda ningeishi tu kama baba yangu anavyoishi😓😓😓 ( Em assume mtu anafanya haya
Natumai wazima wote,.

Iko hivi, kila siku zinavyoenda ndivyo ambavyo naogopa kuja kuitwa mama hapo baadae( Mungu anisaidie niondokane na hii hofu😓🥹🙏), hiii inatokana na lifestyle ambayo namwona mama yangu anaishi..

Huyu mwanamke sielewi hua anapumzika mda gani, yeye ndie mtu wa mwisho kulala kila siku. Yaani hawezi kulala kama kuna mtu bado hajaingia nyumbani, na anahakikisha kila mtu amekula amelala anafunga milango ndipo na yeye alale., Na hata akiingia kulala halitapita nusu saa anapita tena vyumba vyote kuhakikisha mmefunga madirisha, mmeshusha neti na mmejifunika vizuri ( anaweza akaamka hata mara 4 kwa usiku mmoja)..

Haitaishia hapo, Bado kuna sisi ambao inabidi asubuhi tuende kazini na wengine shuleni, wanaoamka usiku kusoma na wanaoamka kusali, kila mtu anamtajia mda wake wa kumwamsha hajawahi kukataa wala kupitiliza kutuamsha, always anakua on time… , Sijawahi kushuhudia ni saa ngapi ameamka ila kila tukiamka asubuhi tayari tunamkuta akiwa macho, kashafanya usafi na kashapika chai tunakunywa tunamwacha Nyumbani,. Hatujawahi kuona au kushuhudia akilala mchana, Labda itokee anaumwa ( Napo ni mara chache sana ).. Sijui hua anapumzika mda gani

Hajawahi kuishi na msaidizi wa kazi maisha yake yote, lakini hakuna aliyewahi kufua, kudeki , kupika, kuosha vyombo wala kufagia. Sio kwamba hatutaki kumsaidia Hapana, ni kwamba hatujawahi kuona uwanja ukiwa mchafu, vyombo vichafu na mda wowote ukirudi nyumbani unakuta chakula tayari na usafi wote ushafanywa na nguo zote ziko kambani zinakauka,,..

Licha ya hayo yote vilevile bado hajawahi kuacha kwenda kazini na shughuli zake nyingine zote za ujasiriamali hajawahi kuacha kufanya, hajawahi kuacha kwenda kwenye jumuiya wala kanisani hata jumapili moja, na kwenye dharura zote iwe hospitali au kikao chochote atakachohitajika mzazi awepo basi ni yeye ndio atakuwepo tena kwa wakati.. Na sijawahi kumwona akilalamika, akinung’unika wala akimlaumu mtu kwamba hakuna anayemsaidia kazi hata siku moja,..

Haya maisha yake yananiogopesha na yananifanya niogope hata kuwaza jinsi nitakavyoishi na watoto wangu huko mbeleni., Sometimes i wish ningekua wakiume labda ningeishi tu kama baba yangu anavyoishi😓😓😓 ( Em assume mtu anafanya haya maisha yake yote)
unaogopaje kuwa mama?ina maana mama yako angeogopa kuwa mama ungekuwepo Leo? Embu fanya chapu tuletee wajomba
 
AF watu mnafanya kazi bado mnakaa kwa wazazi?
Hamuoni kuwa kuwepo kwenu hapo nyumbani ni namna nyingine ya kumchosha huyo mama?
Mi wanangu wakitoka chuo, wakajitegemee huko.
Mmoja kashaanza, we mi nataka kuwa spoiled now mambo ya kulea mijitu mizima in the name of being a Mother sitaki!
Kibaya ni kwamba hataki tuondoke nyumbani, labda itokee unafanya kazi mkoa mwingine.. Dada yangu katoka bado mimi
 
Huenda waakati ukifika nitaona kawaida
weee sio kawaida kukaa unatumikia watoto na watu wa familia muda wote.
ONE NEEDS A ME TIME!
changeni hela mpelekeni mama yenu Vacation!
Akirudi akute mmenunua home appliances na mmemwekea a proffesional maid.
Muachieni vijikaz vichace say like kumtake care mumewe na vijimaua.
 
weee sio kawaida kukaa unatumikia watoto na watu wa familia muda wote.
ONE NEEDS A ME TIME!
changeni hela mpelekeni mama yenu Vacation!
Akirudi akute mmenunua home appliances na mmemwekea a proffesional maid.
Muachieni vijikaz vichace say like kumtake care mumewe na vijimaua.
Ushauri mzuri sana huu, nimescreenshoot tutaufanyia kazi. Barikiwa sana
 
Back
Top Bottom