Naogopa sana Ndugai akizungumza ukweli

Naogopa sana Ndugai akizungumza ukweli

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ni kweli, anasakamwa lakini sipati picha Ndugai akiamua na yeye kuwa liwalo na liwe!

Ki vyovyote vile bado naona Ndugai ana kura ya turufu katika sakata hilo linalovuma.

Ndugai anayo mengi ayafahamuyo yenye kingi kishindo yakiwa bayana!

Kigezo cha kummaliza Ndugai eti kwa msamiati wa '2025' ni chepesi kama pamba na ambacho endapo Ndugai atapanga hoja zake vizuri atakisambaratisha!

Ndugai asichukuliwe poa, akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!

Muda utaongea.
 
Ni kweli, anasakamwa lakini sipati picha Ndugai akiamua na yeye kuwa liwalo na liwe!

Ki vyovyote vile bado naona Ndugai ana kura ya turufu katika sakata hilo linalovuma.

Ndugai anayo mengi ayafahamuyo yenye kingi kishindo yakiwa bayana!

Kigezo cha kummaliza Ndugai eti kwa msamiati wa '2025' ni chepesi kama pamba na ambacho endapo Ndugai atapanga hoja zake vizuri atakisambaratisha!

Ndugai asichukuliwe poa,akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!

Muda utaongea.
Afunguke kuhusu nini sasa? Au kuhusu wabunge 19 wa chadema?
 
🤓🤓🤓 mashabiki mnateseka sukuma gang shida Nini? Kitumbo mbelembele tochi ndo shida ya maniga, wote watamkimbia, hata wewe njaa ikikuuma huta andika ujinga huu.
 
Akina mzee Mangula, mzee Mwinyi na mzee Kikwete et al hawatakubali hii historia ya kumfukuza Speaker iwekwe kwa kupishana kauli tu na Rais. This will be “childish”. Itakuwa doa kubwa sana kwa Rais

As such, watayamaliza behind the scene na Ndugai atatunda mpaka 2025. No wonder ile press ya Shaka imekuwa postponed. Those people from Zanzibar were moving too quickly and they had to be stopped somehow kabla hawajaharibu beyond repair
 
Ni kweli, anasakamwa lakini sipati picha Ndugai akiamua na yeye kuwa liwalo na liwe!

Ki vyovyote vile bado naona Ndugai ana kura ya turufu katika sakata hilo linalovuma.

Ndugai anayo mengi ayafahamuyo yenye kingi kishindo yakiwa bayana!

Kigezo cha kummaliza Ndugai eti kwa msamiati wa '2025' ni chepesi kama pamba na ambacho endapo Ndugai atapanga hoja zake vizuri atakisambaratisha!

Ndugai asichukuliwe poa,akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!

Muda utaongea.
😁 Nchi itatikisika kama ilivyotikisika wakati ule wa BM?
 
Ni kweli, anasakamwa lakini sipati picha Ndugai akiamua na yeye kuwa liwalo na liwe!

Ki vyovyote vile bado naona Ndugai ana kura ya turufu katika sakata hilo linalovuma.

Ndugai anayo mengi ayafahamuyo yenye kingi kishindo yakiwa bayana!

Kigezo cha kummaliza Ndugai eti kwa msamiati wa '2025' ni chepesi kama pamba na ambacho endapo Ndugai atapanga hoja zake vizuri atakisambaratisha!

Ndugai asichukuliwe poa,akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!

Muda utaongea.
Mnajipa moyo buree... ling'ombe lilishajipeleka mdomoni mwa chatu.... kwisha habari yake....

Kwisa... kwisa kabisa!!
 
Usiyoyajua kuhusu CCM...hata Khasim pamoja na kuwa PM bado hajawa inner circle na mengi anaweza asiyajue kuhusu chama na serikali...

Chukua hii pia...EL pamoja na nguvu yote hakujua kama anakwenda kukatwa Dodoma, japo ndio ulikuwa mpango mapema...

Huyo jamaa wa Dodoma ndio yuko mbali kabisaaa na inner circle yaani hata ule upepo tu haupati..
 
Ni kweli, anasakamwa lakini sipati picha Ndugai akiamua na yeye kuwa liwalo na liwe!

Ki vyovyote vile bado naona Ndugai ana kura ya turufu katika sakata hilo linalovuma.

Ndugai anayo mengi ayafahamuyo yenye kingi kishindo yakiwa bayana!

Kigezo cha kummaliza Ndugai eti kwa msamiati wa '2025' ni chepesi kama pamba na ambacho endapo Ndugai atapanga hoja zake vizuri atakisambaratisha!

Ndugai asichukuliwe poa,akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!

Muda utaongea.
Tulia mgogo
 
Ni kweli, anasakamwa lakini sipati picha Ndugai akiamua na yeye kuwa liwalo na liwe!.
Kama asingeomba msamaha na kuisimamia ile kauli yake, then, Ndugai yule, ndiye ambaye angeweza kuamua liwalo na liwe, lakini yule Ndugai aliyeufyata na kuwa mdogo kama piriton, kwa kujinyenyekeza kwa the executive, hawezi tena kuamua lolote liwe, naamini by now barua ya kuachia ngazi iko tayari.
Ki vyovyote vile bado naona Ndugai ana kura ya turufu katika sakata hilo linalovuma.
Baada ya kuomba ule msamaha batilifu uliokataliwa, hana turufu yoyote, he has to go!.
Ndugai anayo mengi ayafahamuyo yenye kingi kishindo yakiwa bayana!
It's true ana mengi, ila hawezi kutoa siri zozote!, ingekuwa ni kutoa siri, angetoa Lowassa, hivyo usitegemee Ndugai atatoa siri yoyote.
Kigezo cha kummaliza Ndugai eti kwa msamiati wa '2025' ni chepesi kama pamba na ambacho endapo Ndugai atapanga hoja zake vizuri atakisambaratisha!.
Japo hapa kwenye hili la 2025, Ndugai amesingiziwa tuu, lakini hawezi kujibishana na boss wake, the boss is always right, hata kama boss kashika karatasi nyeupe, akamuuliza Ndugai,
Boss: "Hii karatasi ni rangi gani?"
JYN: " Nyeupe"
Boss: "Hii nyeupe gani?, au una color blindness?, hii si nyeusi!"
JYN: "Sorry boss, mwanzo niliona vibaya, kumbe ni nyeusi".
Ndugai asichukuliwe poa,akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!

Muda utaongea.
Ndugai kwa sasa si lolote, sii chochote, hana lolote jingine isipokuwa kufungasha. Amepata ajali mbaya kisiasa, amepigwa dafrao, hawezi kuinuka tena!.
P
 
Back
Top Bottom