Maneno yako Pascal Mayalla huwa yanabeba ukweli unaoniumiza na kunikatisha tamaa kabisa.Japo hapa kwenye hili la 2025, Ndugai amesingiziwa tuu, lakini hawezi kujibishana na boss wake, the boss is always right, hata kama boss kashika karatasi nyeupe, akamuuliza Ndugai,
Boss: "Hii karatasi ni rangi gani?"
JYN: " Nyeupe"
Boss: "Hii nyeupe gani?, au una color blindness?, hii si nyeusi!"
JYN: "Sorry boss, mwanzo niliona vibaya, kumbe ni nyeusi".
Kama asingeomba msamaha na kuisimamia ile kauli yake, then, Ndugai yule, ndiye ambaye angeweza kuamua liwalo na liwe, lakini yule Ndugai aliyeufyata na kuwa mdogo kama piriton, kwa kujinyenyekeza kwa the executive, hawezi tena kuamua lolote liwe, naamini by now barua ya kuachia ngazi iko tayari.
Baada ya kuomba ule msamaha batilifu uliokataliwa, hana turufu yoyote, he has to go!.
It's true ana mengi, ila hawezi kutoa siri zozote!, ingekuwa ni kutoa siri, angetoa Lowassa, hivyo usitegemee Ndugai atatoa siri yoyote.
Japo hapa kwenye hili la 2025, Ndugai amesingiziwa tuu, lakini hawezi kujibishana na boss wake, the boss is always right, hata kama boss kashika karatasi nyeupe, akamuuliza Ndugai,
Boss: "Hii karatasi ni rangi gani?"
JYN: " Nyeupe"
Boss: "Hii nyeupe gani?, au una color blindness?, hii si nyeusi!"
JYN: "Sorry boss, mwanzo niliona vibaya, kumbe ni nyeusi".
Ndugai kwa sasa si lolote, sii chochote, hana lolote jingine isipokuwa kufungasha. Amepata ajali mbaya kisiasa, amepigwa dafrao, hawezi kuinuka tena!.
P
Ndugai asichukuliwe poa,akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!
Inaonekana Shaka ndiye acting UVCCM chairman.Akina mzee Mangula, mzee Mwinyi na mzee Kikwete et al hawatakubali hii historia ya kumfukuza Speaker iwekwe kwa kupishana kauli tu na Rais. This will be “childish”. Itakuwa doa kubwa sana kwa Rais
As such, watayamaliza behind the scene na Ndugai atatunda mpaka 2025. No wonder ile press ya Shaka imekuwa postponed. Those people from Zanzibar were moving too quickly and they had to be stopped somehow kabla hawajaharibu beyond repair
Kwahiyo anachokisema rais hata kama ni cha hovyo lazima kitashangiliwa tu?
😁😁😁😁Yetu Macho Na Masikio.
Wale wazee wa cc wemeingia uvunguni.Ni kweli, anasakamwa lakini sipati picha Ndugai akiamua na yeye kuwa liwalo na liwe!
Ki vyovyote vile bado naona Ndugai ana kura ya turufu katika sakata hilo linalovuma.
Ndugai anayo mengi ayafahamuyo yenye kingi kishindo yakiwa bayana!
Kigezo cha kummaliza Ndugai eti kwa msamiati wa '2025' ni chepesi kama pamba na ambacho endapo Ndugai atapanga hoja zake vizuri atakisambaratisha!
Ndugai asichukuliwe poa,akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!
Muda utaongea.
Mkuu Sexless, Rais wa JMT, hahojiwi au kuwa challenged na mamlaka yoyote!Maneno yako Pascal Mayalla huwa yanabeba ukweli unaoniumiza na kunikatisha tamaa kabisa.
Kwahiyo anachokisema rais hata kama ni cha hovyo lazima kitashangiliwa tu??
Vipi!? Walitaka kuigeuza Zanzibar Dubai kwa mgongo wa madeni yatakayolipwa na Tanganyika!?Akina mzee Mangula, mzee Mwinyi na mzee Kikwete et al hawatakubali hii historia ya kumfukuza Speaker iwekwe kwa kupishana kauli tu na Rais. This will be “childish”. Itakuwa doa kubwa sana kwa Rais
As such, watayamaliza behind the scene na Ndugai atatunda mpaka 2025. No wonder ile press ya Shaka imekuwa postponed. Those people from Zanzibar were moving too quickly and they had to be stopped somehow kabla hawajaharibu beyond repair
Mgogo hajawahi kuwa na uwezo huo zaidi ya waliomtuma naye hakushirikisha akili akiwakosea wata watamshughulikia mapema sanaNi kweli, anasakamwa lakini sipati picha Ndugai akiamua na yeye kuwa liwalo na liwe!
Ki vyovyote vile bado naona Ndugai ana kura ya turufu katika sakata hilo linalovuma.
Ndugai anayo mengi ayafahamuyo yenye kingi kishindo yakiwa bayana!
Kigezo cha kummaliza Ndugai eti kwa msamiati wa '2025' ni chepesi kama pamba na ambacho endapo Ndugai atapanga hoja zake vizuri atakisambaratisha!
Ndugai asichukuliwe poa,akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!
Muda utaongea.
Nimekosa Mimi..x2........Ni kweli, anasakamwa lakini sipati picha Ndugai akiamua na yeye kuwa liwalo na liwe!
Ki vyovyote vile bado naona Ndugai ana kura ya turufu katika sakata hilo linalovuma.
Ndugai anayo mengi ayafahamuyo yenye kingi kishindo yakiwa bayana!
Kigezo cha kummaliza Ndugai eti kwa msamiati wa '2025' ni chepesi kama pamba na ambacho endapo Ndugai atapanga hoja zake vizuri atakisambaratisha!
Ndugai asichukuliwe poa,akiamua kufunguka huenda Nchi ikatikisika!
Muda utaongea.
Lowassa alijua kabisaa, ila alijua mtandao wake ndani ya NEC una nguvu na atabebwa, ila ndo ivo ubabe ulitumika akakatwa.Usiyoyajua kuhusu CCM...hata Khasim pamoja na kuwa PM bado hajawa inner circle na mengi anaweza asiyajue kuhusu chama na serikali...
Chukua hii pia...EL pamoja na nguvu yote hakujua kama anakwenda kukatwa dodoma, japo ndio ulikuwa mpango mapema...
Huyo jamaa wa dodoma ndio yuko mbali kabisaaa na inner circle yaani hata ule upepo tu haupati..
"Those people from Zanzibar" who are they? By the way you can argue or come up with a point without showing any racial seg. Mikurupuko aliyokuwa anafanya Mh Magufuli mlikemea? Huu ujinga wa kuweka Uzanzibar sio wa kuunga mkono, wamekaa miaka kibao bila kutoa Rais and remaining calm. Sisi huku kelele na kuwabagua as if si wenzetu.Akina mzee Mangula, mzee Mwinyi na mzee Kikwete et al hawatakubali hii historia ya kumfukuza Speaker iwekwe kwa kupishana kauli tu na Rais. This will be “childish”. Itakuwa doa kubwa sana kwa Rais
As such, watayamaliza behind the scene na Ndugai atatunda mpaka 2025. No wonder ile press ya Shaka imekuwa postponed. Those people from Zanzibar were moving too quickly and they had to be stopped somehow kabla hawajaharibu beyond repair
Lala mtoto mzuruNawasalimu wapendwa katika bwana