Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata mimi leo nimefikiria kuna mwamba daily namuona mitaa ya ferrb na kibakuli cjake kimeja noti kinoumaaHabari wakuu
Kama kichwa kinavyosema hapo juu naomba msaada,pia kama Kuna group za Whatsapp naomba kuunganishwa.
Soma sana bibliaNeno naanza vip kulijua??? Sina nachojua kwa sasa
Anza kwa kujifunza "jiioni ya Leo, mbengoo zitafunguka"Habari wakuu
Kama kichwa kinavyosema hapo juu naomba msaada,pia kama Kuna group za Whatsapp naomba kuunganishwa.
Kirahiso tu hivyo.biblia ni ngumu sana mapadre wa RC wanadotea miaka na miaka seminari kujifunza dini,akasome vyuoni hiyo ni taaluma kama zingineSoma sana biblia
Unaanzia hapa.Neno naanza vip kulijua??? Sina nachojua kwa sasa
We usimshauri hivyo mwenzako, akisoma sana atakuwa AtheistSoma sana biblia
Uko wapi?... tafuta kanisa la kiroho uwe unahudumu hapo, kuwa mvumilivu na uwe tayari kujifunza neno then watakupa muongozo wa namna ya kufanya but itakulia sana muda hii maana utatakiwa uwe unashinda kanisani kulingana na ratiba za ibada zitakavyo pangwa.Habari wakuu
Kama kichwa kinavyosema hapo juu naomba msaada,pia kama Kuna group za Whatsapp naomba kuunganishwa.