Hongera sana kwakuwa una nia njema, ushauri wangu, usikimbilie kusoma kabla ya kulijua neno, kwasababu unaweza kusoma lakini usipolijua neno utashindwa kuhubiri.
unalijuaje neno?
1. mpokee Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wako huku ukiyaacha ya kale
2. Tafuta msaada wa kiroho katika kanisa lililo karibu na wewe.
3. Soma Bibilia na fuatilia mafundisho ya Mungu, kwenye Tv na kwenye radio station(hapa kuwa muangalifu, kuna baadhi ya Tv na Radio hazihubiri neno la Mungu wamekomaa na miujiza)
4. Kundi la Watsap sikushauri sana maana wengine wameanzisha makundi ya watsap kama ngazi ya kupandia, ataweka mada lakini akivutia kwake
Ubarikiwe saa