Naomba anayefahamu biashara ya Mbao anipe mchanganuo jinsi ya uendeshaji

Naomba anayefahamu biashara ya Mbao anipe mchanganuo jinsi ya uendeshaji

Hakuna elimu ya bure
Mi naweza kukuelekeza hadi porini wanapokata miti kabisa ila mimi nitafaidika na nini sijui
Achana na hizi mbao zishawekwa njiani iringa to njombe hizo ni za madalali
 
D
Kuna mikoa ya Njombe, Iringa Mbeya huko nina experience nako. Faida wanapata sana, wanaonunua mti moja kwa moja kwa mkulima na kuprocess mbao kwa saizi tofauti tofauti na kusafirisha mbao mpaka yalipo masoko kama Zambia, Makambako n.k.

Faida
-Mkulima hajui uhalisia wa faida utakayoipata, kwa hio utanunua kwa bei ya chini mti wa mbao
-Uwepo wa nguvu-kazi ya kukufanyia kazi kama mafundi, wasogeza mbao na wasogeza magogo na wanalipwa ujira wa kawaida wenye faida kwako

Hasara zinazoweza kujitokeza
-Moto wa nyika ambao huweza kuunguza mbao au magogo
-Sura ya nchi isiyo rafiki mahali ilipo miti kama miteremko mikali
-Tabia ya nchi ya baridi kali hasa usiku.
-Miundombinu isiyo rafiki hasa wakati wa masika, Kuna maeneo hayaingiliki kabisa si chini ya miezi 7 masika
aah Bora kitunguu sawaumu au maji mbao apana🙌🙌🙌😎
 
Hakuna elimu ya bure
Mi naweza kukuelekeza hadi porini wanapokata miti kabisa ila mimi nitafaidika na nini sijui
Achana na hizi mbao zishawekwa njiani iringa to njombe hizo ni za madalali
Duuh sawa
 
Aseee 🤣 🤣 🙌 atari sana kaka kumbe unaweza kufuta machozi sema kila biashara ukiingia kiboya unapigwa
Unatumia kweliii mkuu hasa wamama wengi wanahongwa sana
 
Ukisikia JAMA wanawasilian wapi cha juuu hapa unapigwa hivi

No 1.kule kwenye kushika wanashikanwao kwahiyo wakiweka HATAsek upati wanatajiana 23.6
Kumbe 27
Twende 28
Kumbe 31.7
HAPO MKUU mpaka umaliziwe mbaonzakoo weweeeqq YAAN UKISIKIA ya cmjuu wanakupiga fasta fasta kwenye kusoma
 
Kuna mikoa ya Njombe, Iringa Mbeya huko nina experience nako. Faida wanapata sana, wanaonunua mti moja kwa moja kwa mkulima na kuprocess mbao kwa saizi tofauti tofauti na kusafirisha mbao mpaka yalipo masoko kama Zambia, Makambako n.k.

Faida
-Mkulima hajui uhalisia wa faida utakayoipata, kwa hio utanunua kwa bei ya chini mti wa mbao
-Uwepo wa nguvu-kazi ya kukufanyia kazi kama mafundi, wasogeza mbao na wasogeza magogo na wanalipwa ujira wa kawaida wenye faida kwako

Hasara zinazoweza kujitokeza
-Moto wa nyika ambao huweza kuunguza mbao au magogo
-Sura ya nchi isiyo rafiki mahali ilipo miti kama miteremko mikali
-Tabia ya nchi ya baridi kali hasa usiku.
-Miundombinu isiyo rafiki hasa wakati wa masika, Kuna maeneo hayaingiliki kabisa si chini ya miezi 7 masika
.......
 
Nipen dili la kuwakusanyia mbao mana ninazo nyingi sana sina la kupeleka njombe one

Hata ukitaka miti na kuuzia kuanzia Hekari 8 kwenda juu
 

Attachments

  • IMG_20250203_093135_795.jpg
    IMG_20250203_093135_795.jpg
    559.6 KB · Views: 1
Mkuu saa1 usiku ni pm nikutumie no za jamaa yangu anafanya kazi hiyo na ana heka 80 ambazo hajazikata bado amezinunua tu. Sharti akikubali kukuunganisha nae nitafanya hivyo nina uhakika atakupa ushirikiano jamaa hapendi uswahili hata kidogo
 
Back
Top Bottom