Naomba code za kufanya namba isipatikane hata ukiwa umewasha simu

Weka flight mode
Miss natafuta ...huku si mahala pako..huku ni kwaajili ya sisi wenye akili nyingi tuu . ..ona ulicho coment akat amekwambia anaitaji kubaki ewani ila watu wasimpate...huoni kama flight mode ita muondoa kabisa hewani
 
Miss natafuta ...huku si mahala pako..huku ni kwaajili ya sisi wenye akili nyingi tuu . ..ona ulicho coment akat amekwambia anaitaji kubaki ewani ila watu wasimpate...huoni kama flight mode ita muondoa kabisa hewani
Unawashwa wewe
 
msaada nikitaka kujiunga kwa namba yangu ya voda inaandika invalid MMI code
 
v
Mshana
Bro mshana hujatupa bado njia ya kublock na icoming sms, hii hapa inablock calls tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…