Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok thanks Mr it works.... kuna hii *31# hii inazuia kupiga simu kwenye no. yoyote.. kuondoa #31#*21*0102# OK
#21# kutoa
##002#kuondoa je????
Miss natafuta ...huku si mahala pako..huku ni kwaajili ya sisi wenye akili nyingi tuu . ..ona ulicho coment akat amekwambia anaitaji kubaki ewani ila watu wasimpate...huoni kama flight mode ita muondoa kabisa hewaniWeka flight mode
Unawashwa weweMiss natafuta ...huku si mahala pako..huku ni kwaajili ya sisi wenye akili nyingi tuu . ..ona ulicho coment akat amekwambia anaitaji kubaki ewani ila watu wasimpate...huoni kama flight mode ita muondoa kabisa hewani
Unawashwa wewe
really*21*0102# OK
#21# kutoa
kila atakaye kupigia utakua hupatikani,ila utakua unapata sms kuonesha namba iliyo kupigia.Kwa ambae hutaki akupate sio?
hii namba ni ya vodacom. acheni uzushi. uki divert kwa namba hii unakuwa unapata sms.Namba ya hacking hiyo... 0754125125
hii namba ni ya vodacom. acheni uzushi. uki divert kwa namba hii unakuwa unapata sms.Namba ya hacking hiyo... 0754125125
hii namba ni ya VODACOM.Hyo namba ni ya nan
nenda seting - call seting- divret all calls kwa namba 0754125125kwenye simu ya tochi imenigomea hiyo
umefanyaje mkuuNimfanikiwa mkuu
#35*0000#umefanyaje mkuu
Mimi sijuikama inawezekana mpe ww hizo code za "kuruhusu baadhi ya no"
vNjia ya kwanza
Nenda kwenye call setting
Kisha chagua barring/Barr call
Itakuletea option ya kubar chagua incoming calls
Kisha activate... Baadhi ya mitandao itahitaji password... Commonly used ni 0000, 1234, 000,123, 211,2121
Njia ya pili
Ingia call setting
Chagua divert option
Chagua all incoming calls
Kisha itakuomba no ya kudirvet
Utaandika namba halisi lakini huandiki yote
Yaani kwa mfano 0687 19202.. Namba moja ya mwisho huandiki kisha activate
Njia ya tatu ipo lakini siwezi kuiweka wazi hapa[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
MshanaNjia ya kwanza
Nenda kwenye call setting
Kisha chagua barring/Barr call
Itakuletea option ya kubar chagua incoming calls
Kisha activate... Baadhi ya mitandao itahitaji password... Commonly used ni 0000, 1234, 000,123, 211,2121
Njia ya pili
Ingia call setting
Chagua divert option
Chagua all incoming calls
Kisha itakuomba no ya kudirvet
Utaandika namba halisi lakini huandiki yote
Yaani kwa mfano 0687 19202.. Namba moja ya mwisho huandiki kisha activate
Njia ya tatu ipo lakini siwezi kuiweka wazi hapa[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Bro mshana hujatupa bado njia ya kublock na icoming sms, hii hapa inablock calls tuNjia ya kwanza
Nenda kwenye call setting
Kisha chagua barring/Barr call
Itakuletea option ya kubar chagua incoming calls
Kisha activate... Baadhi ya mitandao itahitaji password... Commonly used ni 0000, 1234, 000,123, 211,2121
Njia ya pili
Ingia call setting
Chagua divert option
Chagua all incoming calls
Kisha itakuomba no ya kudirvet
Utaandika namba halisi lakini huandiki yote
Yaani kwa mfano 0687 19202.. Namba moja ya mwisho huandiki kisha activate
Njia ya tatu ipo lakini siwezi kuiweka wazi hapa[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]