magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Hata kuandika hajui halafu anaita watu washamba.praystore inapatikana na huku chattle au hukohuko mjini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kuandika hajui halafu anaita watu washamba.praystore inapatikana na huku chattle au hukohuko mjini?
Kwanini hutaki kupatikana wewe?Hapa panafaa ngoja nifatilie comments
Walaa.....ila nimependa kujifunza ubunifu mpya...napatikana vizuri tuuKwanini hutaki kupatikana wewe?
Hivi wewe ni ke au meWalaa.....ila nimependa kujifunza ubunifu mpya...napatikana vizuri tuu
Aya sawa mwaya, mimi nilijua unataka usiwe unapatikanaWalaa.....ila nimependa kujifunza ubunifu mpya...napatikana vizuri tuu
Sikwaghile siliku nkamu kwangu?Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
Njia ya kwanzaWadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
Inahusika na kugeuza namba na alama... Namba husika ni 0 na 6 na alama husika ni # na *.... Inatosha tafadhali usiulize zaidiTuwekee hiyo ya tatu mshana jr
Unazingua ujueInahusika na kugeuza namba na alama... Namba husika ni 0 na 6 na alama husika ni # na *.... Inatosha tafadhali usiulize zaidi
Kiaje yani.... Yani unataka kila kitu utafuniwe?Unazingua ujue
Mkuu kama mtoto hana meno mtafunie tu, atakufa kwa njaa.Kiaje yani.... Yani unataka kila kitu utafuniwe?
Kuna app inaitwa Mr Number"itafute play store.itakufaa sanaWadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
Anywe maziwa na ujiMkuu kama mtoto hana meno mtafunie tu, atakufa kwa njaa.
Kama hutaki upatikane si UZIME TU,simu ya kwako halafu mwingine akupangie matumizi?
Broo nipatie hizo code za kuweka kwenye simu isipatikane au itapendeza zaid ikiwa inapokelewa na mhudum wa huduma kwa watejaDawa ya Deni ni Kulipa. Kawalipe Kwanza wote wanaokudai Pesa zao kisha Mimi nitakupa hizo Code na utafurahia maisha.
[emoji23] [emoji23]Hivi wewe ni ke au me
Wewe unaonyesha jinsi yakutopatikana tu halafu huonyeshi jinsi yakuondoa kutopatikana,hii ni ajabu sana.*35*0000# code hizo