Naomba code za kufanya namba isipatikane hata ukiwa umewasha simu

Naomba code za kufanya namba isipatikane hata ukiwa umewasha simu

Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
Si uweke tu AIRPLANE MODE??
 
Njia ya kwanza
Nenda kwenye call setting
Kisha chagua barring/Barr call
Itakuletea option ya kubar chagua incoming calls
Kisha activate... Baadhi ya mitandao itahitaji password... Commonly used ni 0000, 1234, 000,123, 211,2121

Njia ya pili
Ingia call setting
Chagua divert option
Chagua all incoming calls
Kisha itakuomba no ya kudirvet
Utaandika namba halisi lakini huandiki yote
Yaani kwa mfano 0687 19202.. Namba moja ya mwisho huandiki kisha activate

Njia ya tatu ipo lakini siwezi kuiweka wazi hapa[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
KWA YA 3 ITAKUWAJE JE?!
 
Acheni ushamba nendeni praystore dld kitu kinaitwa truecaller ina kila kitu kama utaki mtu akupigie wala kukutumia msg
Truecaller pamoja na applications zinginezo zinazoweza kublacklist namba zina shida moja ni kwamba ukimwekea blacklist mtu, anapokupigia haambiwi kuwa haipatikani bali ataambiwa namba ya simu inatumika (user busy) na mbaya zaidi apps zingine zinaita na kuita kidogo halafu ndio inakata inasema user busy. Sasa kwa mtu mwenye akili anajua kabisa kuwa ameblacklistiwa
 

Iphone kuna option ya kuweza kuzima data ya whatsapp usionekane online wala usipate meseg yotote ile,hivo hivo kwa App zote zilizopo unazima mobile data kwenye hio hio App usio hitaji kutumia muda huo hadi pale utakapo hitaji ndio unawasha Mobile data yake
 
Back
Top Bottom