Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba ya hacking hiyo... 0754125125kwa voda *21*0754125125# hapa itakua hupatikani japo simu ipo on,lkn utapata sms kwa aliye kutafta
kutoa ##002#
mjini shuleSoooon, nitakutumia ya kuweka na kutolea.
*21*0027# kuweka
##21# kutoa
NAMNA YA KUITOA SASA...hii ni call barring hata sms hupokei wala kutuma..nimeijaribu
nadhani *21*0023# ni nzuri...maana unaweza tuma na kupokea text
Si uweke tu AIRPLANE MODE??Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
Yaaaaani [emoji23][emoji23]Kuijua truecaller unaita watu washamba je ungejua makubwa zaidi ya hayo?!
KWA YA 3 ITAKUWAJE JE?!Njia ya kwanza
Nenda kwenye call setting
Kisha chagua barring/Barr call
Itakuletea option ya kubar chagua incoming calls
Kisha activate... Baadhi ya mitandao itahitaji password... Commonly used ni 0000, 1234, 000,123, 211,2121
Njia ya pili
Ingia call setting
Chagua divert option
Chagua all incoming calls
Kisha itakuomba no ya kudirvet
Utaandika namba halisi lakini huandiki yote
Yaani kwa mfano 0687 19202.. Namba moja ya mwisho huandiki kisha activate
Njia ya tatu ipo lakini siwezi kuiweka wazi hapa[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Kama nimekumiss vile seriously.[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji12] [emoji12]Yaaaaani [emoji23][emoji23]
Truecaller pamoja na applications zinginezo zinazoweza kublacklist namba zina shida moja ni kwamba ukimwekea blacklist mtu, anapokupigia haambiwi kuwa haipatikani bali ataambiwa namba ya simu inatumika (user busy) na mbaya zaidi apps zingine zinaita na kuita kidogo halafu ndio inakata inasema user busy. Sasa kwa mtu mwenye akili anajua kabisa kuwa ameblacklistiwaAcheni ushamba nendeni praystore dld kitu kinaitwa truecaller ina kila kitu kama utaki mtu akupigie wala kukutumia msg
We ukinimiss naweza nikaokota hela leoKama nimekumiss vile seriously.[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji12] [emoji12]
Masharti na vigezo kuzingatiwaKWA YA 3 ITAKUWAJE JE?!
Why...?Tumia IPHONE tu ndio kiboko ya kila kitu[emoji1321]
Inasaidia kupunguza vita ya familia.mjini shule
Why...?