Naomba elimu kuhusu Soko la Madaktari wa Mifugo (BVM) nataka kutuma maombi

Naomba elimu kuhusu Soko la Madaktari wa Mifugo (BVM) nataka kutuma maombi

Kwanza hiyo ishu ni ngumu sana inabidi uwe fresh pili kuhusu ajira usitegemee sn mana waliomaliza mwaka juzi tu ajira hawana piga hesabu ww baada ya miaka mitano itakuwaje ss ila uzuri wake unaweza jiajiri iyo ka uko fresh
 
Wakuu naomba nipewe Elimu kuhusu Soko la madaktari wa mifugo (BVM) Maana nataka kuapply hiyo
Kasome BVM lakini ujiandae kwa shule ya kufa mtu, maana niliishi hostel na chalii wa BVM mwaka 3 yeye akiwa wa pili pale mjini SUA, aisee alikuwa anakula shule hadi huruma ... lakin ni kozi nzuri ambayo ukitusua na ufaulu mzuri wanaweza kubakisha palepale chuoni
 
Kasome BVM lakini ujiandae kwa shule ya kufa mtu, maana niliishi hostel na chalii wa BVM mwaka 3 yeye akiwa wa pili pale mjini SUA, aisee alikuwa anakula shule hadi huruma ... lakin ni kozi nzuri ambayo ukitusua na ufaulu mzuri wanaweza kubakisha palepale chuoni
Mpaka ubaki Sasa.
 
Kama kichwa chako kingeweza kusoma MD basi sawa. Ila kama MD tu usingeweza, hiyo BVM itakutoa mapunye kichwani.
 
Mm Nina mshikaji wangu tulimaliza wote advance miaka iyoo akachugua iyoo kozi asee semester ya kwanza tu akadisco mwaka wa kwanza akarudi maskan ingawa mshikaji alikuwa ni mpiga msuli lakin alilabwa kichwa ........kiufupi iyoo kozi ni konyo Kama inataka kuisoma jipangeeee
 
Kasomee kitu unachopenda usiangalie Soko ,Kila course Ina ajira
Wengi wa vijana ukiwaambianhii kauli hawatakuelewa. Kasome kile unachokipenda wewe wala usijali, huku makazini professionals maboss wao huwa wala siyo experts wa profession ya idara husika.
Binafsi kijana wangu anapenda sana (na uwezo anao) kiingereza, na mimi nitapita naye humo humo advance na university 💪
 
Kipindi nasoma hapo SUA semester ya kwanza kuna kozi baadhi ktk degree program yetu zilikuwa ni za FVM ambazo ni animal physiology na comparative vertebrates anatomy halafu ni 3 credit hours each ule mziki ulikuwa balaa, practicals, seminars, individual and group assignments, quiz,test, presentation sema uzuri course work ilikuwa ina carry 60% na UE 40%. Baadae tukaja kusoma tena animal diseases, cell&molecular biology.Kwa hiyo kijana ujipange kwa msuli wa hard five years na usitegemee sana ajira maana mwajiri mkuu ni serikali
 
Back
Top Bottom