MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Nimeota kumbe Gari Chiba lilishachomwa Moto Kitambo tu na kwamba kwa sasa Picha ya Gari inatafutwa ili Snipers watafutwe na walipige Risasi vile vile na Watafutwe Wataalam walirejeshe kama lilivyokuwa Siku hiyo ndipo Chiba akabidhiwe Kelele ziishe Mtaani.
Chiba na Wewe kuwa Mvumilivu Kwanza kwani Wataalam bado wanahangaika Kulikongoroa kama lilivyokuwa hivyo ukiona unakwepwa lilikohifadhiwa jua bado Mafundi wa Gereji Kuu Wilaya ya Ilala, baadhi wa Makumbusho na wa Dodoma wanahangaika nalo.
Ila Chiba umewashika Watu pabaya mno kwani wao Walijua hutorejea kabisa hivyo likatokomezwa kabisa pamoja na Watendaji waliokosea Mission nao Kutokomezwa mazima sasa Wewe umerejea badala ya Kuulizia Mafuta ya Alizeti ya Kwenu umekimbilia kutaka Ndinga ( Motokaa ) yako.
Kazi ipo.......!!!!!!!
Chiba na Wewe kuwa Mvumilivu Kwanza kwani Wataalam bado wanahangaika Kulikongoroa kama lilivyokuwa hivyo ukiona unakwepwa lilikohifadhiwa jua bado Mafundi wa Gereji Kuu Wilaya ya Ilala, baadhi wa Makumbusho na wa Dodoma wanahangaika nalo.
Ila Chiba umewashika Watu pabaya mno kwani wao Walijua hutorejea kabisa hivyo likatokomezwa kabisa pamoja na Watendaji waliokosea Mission nao Kutokomezwa mazima sasa Wewe umerejea badala ya Kuulizia Mafuta ya Alizeti ya Kwenu umekimbilia kutaka Ndinga ( Motokaa ) yako.
Kazi ipo.......!!!!!!!