Naomba iwepo JF party kabla ya Septemba 30, 2024

Naomba iwepo JF party kabla ya Septemba 30, 2024

Let's get started

Let's get started
Nafkiri tuwasiliane na uongozi... Iwe addressed kwenye official pages zao za Instagram, Facebook, WhatsApp na kwingineko na hii nafkiri tuipe jina rasmi la "Tanzanians On JF Bonanza"

This is gonna be huge that you think fam!

Manyama choma, mitungi, vioda, Fresh juice, mziki, bebeZ kama zote... Ni interaction na connection za maana live live, JF kuna watu tofauti... Hii itafungua hata milango kwa vijana kufahamiana.

Hakuna haja ya kupeana ID zetu, watu wakikutana ni Vibes tu!

Angalia T.O.T bonanza on Youtube utaelewa nini namaanisha mkuu!

Inatakiwa kuwa kama vile
 
Uongozi wa JF,

Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha.

Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox.

Ahsante, nawasilisha.
Mlishapewa onyo
Msije mkarudi mkawa mnashindwa kuhadithia ya kwenye pati kama dimondi alipomtembelea pdidy waka paree
images.jpeg-135.jpg
 
Acheni uboya! Mbona enzi za Twitter, majamaa walizindua kitu kinaitwa T.O.T bonanza, yaani "Tanzanians On Twitter Bonanza rasmi mnamo mwaka 2020... na mwitikio ulikuwa mkubwa tena very positively?! na ikawa inafanyika kila mwaka... Sijui saiv maana sijafatilia kitambo baada ya kuzidi kubanwa na mambo.

Hakukuwa na aliyetekwa, kupelekwa polisi wala kupotea na kufa na wala kuzodolewa ingawa wasema hovyo/wananga serikali wapo tele! Machawa na wanaotetea upumbavu na ushetani, wauza miili, Wakujipendekeza, Wanafki rangi mbili... Na wengineo wote walikuwemo na ililika starehe sio poa! Tena ulinzi wa kutosha!

Sasa nyinyi mnaogopa nini?!

ZINGATIENI:- "Serikali ikiamua kuwapateni nyie maboya itawapata tu!"

Hebu tuandae "Tanzanians on JF Bonanza" Ebo!!!!!
Twitter wapo serious sana, by the way watu hawaogopi kujulikana Kwa sababu ya serikali...wanaogopa kujulikana Kwa sababu ya wanayoyasema humu unaweza Kuta mtu kutwa kuikosoa IST lkn uhalisia anabambia/ anabambiwa kwenye mwendokasi
 
JF Party zote za zamani (zilifanyika kama mara 2 plus matukio mengine kama ziara za kitalii na kuwaona wasiojiweza) zilikuwa zinaandaliwa na kuratibiwa na members kama wewe wenye nia zinazofanana...

JF ya sasa majority wana utoto mwingi bado kamasi zinawatiririka...

JF ya sasa mtu akiona picha tu selfika ya mtu mwingine, mbio kwenye maPM kusimangana na kuzushiana maneno, sembuse akiwaona watu live...shubamitiiii
Naunga mkono hoja
 
Viwanja vya TTCL na Postal grounds Kijitonyama viko poa sana! Ningependekeza waite wafanyabiashara mbalimbali waje kutangaza brands zao... Kuwe na vinywaji, Vyakula na njonjo zingine kibao! Kama vipi liandaliwe bonanza maalum la soka lipigwe pale na michezo mingine kama kikapu, mpira wa pete, Tennis na kadhalika, mapema asubuhi kabla ya yote kuwe na jogging kwa ajili ya kupiga vita magonjwa yasioambukiza.... Usiku upigwe mziki mpaka majogoo ikiwezekana na tuite kama wasanii wawili watatu hivi ambao tutaweza kuwamudu

Maxence Melo
Imetuliaa mkuu
 
Back
Top Bottom