min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
๐๐๐๐Watajiju! Mimi siku hio nipo na wewe tu๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Watajiju! Mimi siku hio nipo na wewe tu๐
Nimeipenda hiiWatajiju! Mimi siku hio nipo na wewe tu๐
Sio kweli... Twitter waliandaa kipindi kile imechachamaa enzi za Kigogo mjinga and nothing happened!mtego huu
Andaa boxer ya kuogelea rangi inayofanana na s.costume yangu nitakutajia rangi yake๐๐๐๐
Usijali nipo tayari hata kuvaa lile gagulo la utopolo ili mradi ni wewe umesema tu.Andaa boxer ya kuogelea rangi inayofanana na s.costume yangu nitakutajia rangi yake
Gen Z unawaonea! Wengine ni watu wazima sema watu wazima hovyoo
Mkionana atararua tumbuaWazo zuri
Natakq nimuone @--ee๐ kijana anayeurarua moyo wangu
Let's get started
Nafkiri tuwasiliane na uongozi... Iwe addressed kwenye official pages zao za Instagram, Facebook, WhatsApp na kwingineko na hii nafkiri tuipe jina rasmi la "Tanzanians On JF Bonanza"Let's get started
Mlishapewa onyoUongozi wa JF,
Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha.
Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox.
Ahsante, nawasilisha.
Sio kweli... Twitter waliandaa kipindi kile imechachamaa enzi za Kigogo mjinga and nothing happened!Mlishapewa onyo
Msije mkarudi mkawa mnashindwa kuhadithia ya kwenye pati kama dimondi alipomtembelea pdidy waka pareeView attachment 3037415
Am humbled!Usijali nipo tayari hata kuvaa lile gagulo la utopolo ili mradi ni wewe umesema tu.
Pare ya pdiri sioSio kweli... Twitter waliandaa kipindi kile imechachamaa enzi za Kigogo mjinga and nothing happened!
Toka zako!Pare ya pdiri sio
Toka zako!
Twitter wapo serious sana, by the way watu hawaogopi kujulikana Kwa sababu ya serikali...wanaogopa kujulikana Kwa sababu ya wanayoyasema humu unaweza Kuta mtu kutwa kuikosoa IST lkn uhalisia anabambia/ anabambiwa kwenye mwendokasiAcheni uboya! Mbona enzi za Twitter, majamaa walizindua kitu kinaitwa T.O.T bonanza, yaani "Tanzanians On Twitter Bonanza rasmi mnamo mwaka 2020... na mwitikio ulikuwa mkubwa tena very positively?! na ikawa inafanyika kila mwaka... Sijui saiv maana sijafatilia kitambo baada ya kuzidi kubanwa na mambo.
Hakukuwa na aliyetekwa, kupelekwa polisi wala kupotea na kufa na wala kuzodolewa ingawa wasema hovyo/wananga serikali wapo tele! Machawa na wanaotetea upumbavu na ushetani, wauza miili, Wakujipendekeza, Wanafki rangi mbili... Na wengineo wote walikuwemo na ililika starehe sio poa! Tena ulinzi wa kutosha!
Sasa nyinyi mnaogopa nini?!
ZINGATIENI:- "Serikali ikiamua kuwapateni nyie maboya itawapata tu!"
Hebu tuandae "Tanzanians on JF Bonanza" Ebo!!!!!
Naunga mkono hojaJF Party zote za zamani (zilifanyika kama mara 2 plus matukio mengine kama ziara za kitalii na kuwaona wasiojiweza) zilikuwa zinaandaliwa na kuratibiwa na members kama wewe wenye nia zinazofanana...
JF ya sasa majority wana utoto mwingi bado kamasi zinawatiririka...
JF ya sasa mtu akiona picha tu selfika ya mtu mwingine, mbio kwenye maPM kusimangana na kuzushiana maneno, sembuse akiwaona watu live...shubamitiiii
We kaa kijanja jumamosi utanielewa ๐๐คฃ๐คฃ
Imetuliaa mkuuViwanja vya TTCL na Postal grounds Kijitonyama viko poa sana! Ningependekeza waite wafanyabiashara mbalimbali waje kutangaza brands zao... Kuwe na vinywaji, Vyakula na njonjo zingine kibao! Kama vipi liandaliwe bonanza maalum la soka lipigwe pale na michezo mingine kama kikapu, mpira wa pete, Tennis na kadhalika, mapema asubuhi kabla ya yote kuwe na jogging kwa ajili ya kupiga vita magonjwa yasioambukiza.... Usiku upigwe mziki mpaka majogoo ikiwezekana na tuite kama wasanii wawili watatu hivi ambao tutaweza kuwamudu
Maxence Melo