Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kuandika gazeti siwezi, maneno machache short & clearKwahiyo hapa umeongea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuandika gazeti siwezi, maneno machache short & clearKwahiyo hapa umeongea?
Elezea short and clear.Kuandika gazeti siwezi, maneno machache short & clear
Walau unakitu, tuone mishepu ya kina LamomyHii party kama vipi ifanyike beach ili watu tuvae swimming custome🤸
Hv kumbe mda wote ulikua huja-guguElezea short and clear.
Maximelo muache tueaeza fanya ufuska uwanjani tukaja kula ban hukuViwanja vya TTCL na Postal grounds Kijitonyama viko poa sana! Ningependekeza waite wafanyabiashara mbalimbali waje kutangaza brands zao... Kuwe na vinywaji, Vyakula na njonjo zingine kibao! Kama vipi liandaliwe bonanza maalum la soka lipigwe pale na michezo mingine kama kikapu, mpira wa pete, Tennis na kadhalika, mapema asubuhi kabla ya yote kuwe na jogging kwa ajili ya kupiga vita magonjwa yasioambukiza.... Usiku upigwe mziki mpaka majogoo ikiwezekana na tuite kama wasanii wawili watatu hivi ambao tutaweza kuwamudu
Maxence Melo
Hapo inaonekana mzigo upo sio kama hawa wakina Amina kiunoMbona umeniganda sana inawezekana wezere unalo.
Nakusubiria wewe gugu yangu😊Hv kumbe mda wote ulikua huja-gugu
😁Nakusubiria wewe gugu yangu😊
Na mbegeUsisahau kuleta ulanzi
Imeisha iyoSawa nakusoma point 5 mwenyewe 😅
Mshanduaji wa jf pate 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] half cast koko, kitakukuta kitu wee hayaaa!!
Mimi pia....miaka mingi nimemuhisigi ni yeyeUna vi element vya Carry mastory
Hii ID huwa naihisi ni yeye.
Kweli kabisa.Mimi pia....miaka mingi nimemuhisigi ni yeye
Na abaya langu ntatimba, sina kwereee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataka kwenye said Arabia hivi kule ni hijabu tu? [emoji28][emoji28]
Wee huogopiiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mshanduaji wa jf pate [emoji23]
Sema kwelii? [emoji23][emoji23]Mimi pia....miaka mingi nimemuhisigi ni yeye
Nyiee, nyiee. [emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa.
Hisia zetu hazipishani sana na ukweli.
Kubulaa ndio nini tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] half cast koko ntakubulaa!!
😂 naogopaWee huogopiiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]