Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Eeh 😂Uswazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh 😂Uswazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uongozi wa JF,
Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha.
Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox.
Ahsante, nawasilisha.
Na wengine ni washanduaji kama cocasticMkuu na Kuna wengine walisema ni wakuu wa wilaya kumbe matapeli 😁🤣🤣 Cc 100 others
😂 na ulishasema infinix ni za wadada wa kazi, sasa yote hayo yanini.Na tuko na simu za Bei...
Hii Infinix yangu nitaificha wapi🤣
🤣🤣Mambo ya brand au sioBeach sitakiii, nataka hall tena yenye hadhi, watu tulipuke km Kamala Harris,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo atakua kamati ya chakulaa na vinywajii.
🤣🤣Uongo we ni msabato
Huyo ni msabato kama huamini subiri jumamosi hutamuona humu ndani mda wa ibada.
Sijapenda leo ulivyoamka na hasira😂JF Party zote za zamani (zilifanyika kama mara 2 plus matukio mengine kama ziara za kitalii na kuwaona wasiojiweza) zilikuwa zinaandaliwa na kuratibiwa na members kama wewe wenye nia zinazofanana...
JF ya sasa majority wana utoto mwingi bado kamasi zinawatiririka...
JF ya sasa mtu akiona picha tu selfika ya mtu mwingine, mbio kwenye maPM kusimangana na kuzushiana maneno, sembuse akiwaona watu live...shubamitiiii
Tuwe wote ktk kuitafutaMi ngoja nitafute yangu 🏊🏄
Sijapenda leo ulivyoamka na hasira😂
Gen Z unawaonea! Wengine ni watu wazima sema watu wazima hovyoo😄
Nawachana Gen Z waache ulimbilifu...
Sawa sawa Mkuu hii ya siku hz ni utoto tu..ndio maana watu wanakutana ki legendary kimya kimyaJF Party zote za zamani (zilifanyika kama mara 2 plus matukio mengine kama ziara za kitalii na kuwaona wasiojiweza) zilikuwa zinaandaliwa na kuratibiwa na members kama wewe wenye nia zinazofanana...
JF ya sasa majority wana utoto mwingi bado kamasi zinawatiririka...
JF ya sasa mtu akiona picha tu selfika ya mtu mwingine, mbio kwenye maPM kusimangana na kuzushiana maneno, sembuse akiwaona watu live...shubamitiiii
Hahahahaha mijitu mizima hovyoGen Z unawaonea! Wengine ni watu wazima sema watu wazima hovyoo
Sure, bora tujuane mimi na wewe tu inatosha😊Gen Z unawaonea! Wengine ni watu wazima sema watu wazima hovyoo
Wewe ndiye unachelewesha tusijuaneSure, bora tujuane mimi na wewe tu inatosha😊
Kila kitu kitakaa poa tu tujipe mda😊😊😊Wewe ndiye unachelewesha tusijuane
Mimi nilishakufungulia moyo kitambo😉
Kama kweli vile😂🤸Kila kitu kitakaa poa tu tujipe mda😊😊😊
Kwanini isiweze kuwa kweli na wewe😁Kama kweli vile😂🤸