Naomba iwepo JF party kabla ya Septemba 30, 2024

Naomba iwepo JF party kabla ya Septemba 30, 2024

unajua kjuana kuna faiada nyingi kulioo hasara
Wapo Wafanyabiashara humu
wapo wamakazini serikalin nk
Wapo wezi wamtandaon
wapo wapiga betting humuhumu
Wapo wanaotafuta ndoa kuolewa ama kuoa
wapo wanaosubiri miujiza ya kuolewa amakuoa

yaan tukikutana mainly n kupeana connection ukiona halalali si halali juuyako ilimradi watu kadhaa tunawatoa amakutoana kwenye sehemu flan ya maisha kwenda sehemu nyingine bora zaidi......

unahisi wale wa ntumie 700000 kwenda no ,wamohumu na wana win so tukishare juzi wanafankkiwaje tunasogeza sikuzakishiiiiiii

bilakusaahauùumzeedidybtakuwanamistariyanguukamakawaidaaaausiponielewaaawesongambeletundiomaishahetukidogokiingiemdomooniielsenawatakiausikumwemaaaaaa
Chai
 
Mimi naunga mkono jambo hili 😎 ila naona nyie mnaoishi Daslamu ndio mtakuwa wahusika hvy sisi wa mikoani tutatengwa
 
Back
Top Bottom