Naomba iwepo JF party kabla ya Septemba 30, 2024

Naomba iwepo JF party kabla ya Septemba 30, 2024

Anasema eti kwenye hii party hataki kukuona hv Ana uhakika na asemalo kweli eti Analyse
Muache huyo kashachimbwa biti na shangazi bongisa hapo anaogopa kuja huku. 😂😂😂
Halafu kumbe shangazi kapita kimeuma kaenda kujiliza hiiiiiii nchumba chitaki uongee na labella ananiponda 😹😹😹
Na mibonge ikiwa inalia sasa, km simtank la litre 10,000 linavyomwaga maji 🤣

Oyaaaa bff niache
 
Back
Top Bottom