Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumwa na nani🫠Kuona midume inayochat kama mijike, kuona njemba moja inayochat na ID 11 kama watu tofauti ila kubwa na la muhimu zaidi kuona matajiri wa JF wakija kwa uhalisia wao wa ukapuku.
🤣🤣🤣🤣 mchawi mtu paka anatumwa tuHuyo namtafutia ban kwenye account yake hii. Asipokuwepo mambo yangu yanaenda
Hata Mimi Naona.....aendelee kukaa huko huko alipo 😅🤣🤣🤣🤣 mchawi mtu paka anatumwa tu
mtego huuUongozi wa JF,
Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha.
Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox.
Ahsante, nawasilisha.
kijana raraa reree atakua kakusikiaWazo zuri
Natakq nimuone @--ee💋 kijana anayeurarua moyo wangu
Una vi element vya Carry mastory[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitakua MC wa shughuri, full kuchachua na kushandua party!!
Ngoja aje hapa sikutetei ujueHata Mimi Naona.....aendelee kukaa huko huko alipo 😅
Haniwezi, aje tu 😅Ngoja aje hapa sikutetei ujue
Kwanini jamaniii? Vi element gani? [emoji23][emoji23][emoji23]Una vi element vya Carry mastory
Hii ID huwa naihisi ni yeye.
nitacheza mziki nawewe nimekuwahiLengo ni nini?
nitakutaftia mshangaz wenye hela ,,utaenjoy hio sikuIli iweje?
hakikisha unakuja na mkeoWale walikuwa wanajifanya wanawake kumbe ni wanaume fursa yenu hiyo
najua pigo zako😌Kwa mbaaali nimeanza kushawishika 😊
1. UandishiKwanini jamaniii? Vi element gani? [emoji23][emoji23][emoji23]