Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
natumai nitamuona ephen_ liveHiyo party tutakuwa na utambulisho !
Nitashukuru kuonana na Choice variable live😂
😂 Hahahaha wooooiiii ulisoma kwa kutumia hio kengeza kwenye avatar yakoDadeq baada ya kusoma reply yako nikashusha pumzi akili ikakosa utulivu ndani ya sekunde mbili nlikuumba kichwani tukafunga ndoa na chumbani tushaenda nlivosoma kwa umakini ndo nkaona umeandika 'ntalewa' fambafu sana
nipo serious,, ingawa sijawahi onja kilevi chochote,,natumai utanifunza vemaUwe serious kidogo bas watu mahari ipo mkononi
huyo wew utaenda kwaajili yake huenda ndo @__eeNa rora pia utamuona!
Hapana rora reree ni kaka angu!huyo wew utaenda kwaajili yake huenda ndo @__ee
[emoji23][emoji23][emoji23] oooh kumbe, ahsantee.1. Uandishi
2. Cheko, hata comment iwe ya jazba unaachia tu cheko.
3. Kisima cha habari za mujini.
ngoja aje atathibitisha hili raraa rereeHapana rora reree ni kaka angu!
Mapenzi ni upofuuuuu.... Alisikika msanii mmoja katika wimbo wake. 😃😃😃😃😃1. Uandishi
2. Cheko, hata comment iwe ya jazba unaachia tu cheko.
3. Kisima cha habari za mujini.
ngoja tutaonaWe bia Moja tu utasema kila kitu
Mkuu umekwenda mbali sana.Mapenzi ni upofuuuuu.... Alisikika msanii mmoja katika wimbo wake. 😃😃😃😃😃
Si unaona sasa, mulemule 😀[emoji23][emoji23][emoji23] oooh kumbe, ahsantee.
Ila mie sio carry, japo niko nae karibu, yaan ni shost angu.
Na unajitahidi na ule mshangazi wako chimdufu shapeless 😹😹😹Huyo namtafutia ban kwenye account yake hii. Asipokuwepo mambo yangu yanaenda
Huyo ana stress kakukosa mtoto mzuri kaangukia kwa tukunyema (chimdufu) 😹😹😹🤣🤣🤣🤣 mchawi mtu paka anatumwa tu
😹😹😹 Vuta kiti ukaeHata Mimi Naona.....aendelee kukaa huko huko alipo 😅
Nishafika si unajua uzi km huu bila uwepo wangu inakuwa km kachumbali iliyokosa ndimu 😹😹😹Ngoja aje hapa sikutetei ujue
Umejificha wapi?? Au mshangazi umekufunika na minyama yake 😹😹😹Haniwezi, aje tu 😅