Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kwa ufupi ni kuona uhalisia wa fake ID'sKuona midume inayochat kama mijike, kuona njemba moja inayochat na ID 11 kama watu tofauti ila kubwa na la muhimu zaidi kuona matajiri wa JF wakija kwa uhalisia wao wa ukapuku.
Sawa Babu tutasogea🤣Nanyi Wajukuu mkitaka tuwahadithie mambo ya Mwaka 47 mnaruhusiwa kusogea tulipo Wazee 😜 🤗
Muache huyo kashachimbwa biti na shangazi bongisa hapo anaogopa kuja huku. 😂😂😂Anasema eti kwenye hii party hataki kukuona hv Ana uhakika na asemalo kweli eti Analyse
Mnataka kulana kimasihara tu nyieUongozi wa JF,
Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha.
Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox.
Ahsante, nawasilisha.
Khaaaaa jmn🤣🤣Mimi huyu nicheze na msabato? Labda kama trako lipo
Mabonge yasije yatatusumbua kuyaokoa tutaacha kuogelea 😂😂😂
Mawaidha kwani tutakutana msikitini?Si amesema tupeane mawaidha. Hutaki nikupe mawaidha?
Mi ngoja nitafute yangu 🏊🏄Mabonge yasije yatatusumbua kuyaokoa tutaacha kuogelea 😂😂😂
Mtanikuta nimewahi mapema Ukumbini navuta zangu Kiko tu 🤗 😜Sawa Babu tutasogea🤣
😂 msemeHahahaa. Lol
😂 umejuaje sipo dar?Ukija Dar utaelewa🤣🤣🤣
Kiki yao mimi humu, haiwezi kupita siku bila kunitaja, yani lazima waweseke machawa wangu.!! 😹😹😹Kwakweli 🤣🤣🙌
Tafuta mahi hiyo siku ni humu tyuu 👙🏊♀️Mi ngoja nitafute yangu 🏊🏄
Ili iweje? Kunyimana uhuru tu humu ndani, kujuana ni hatari hasa kwa baadhi ya watu.Tujuane😃
Kamusi gani hiyo ina neno la hivi?😅Half cast koko ushatia guu ndani ya uzi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kushandua ni kushereheshaa. Woiiiiih
Vile unavyowasemaga watu wa Dar😂😂 umejuaje sipo dar?
Nipo mpimbwe huku, watu wa dar wawe na amani najua hata hiyo party watataka ifanyike huko dar.Vile unavyowasemaga watu wa Dar😂
😂 msabato huyo inaonekana hana, are u msabato?Khaaaaa jmn🤣🤣
Kwani wasabato hawana tako🤗