Jackson QUECA
Senior Member
- Oct 6, 2024
- 105
- 150
Wakuu habari za majukumu ya hapa na pale.Naomba kama Kuna mwenye kazi au connection za kazi,mahali popote professional nimesoma ualimu,“Diploma for secondary education ”masomo ya phizikia,pamoja biologia.Pia ambazo siyo professional Kama
—⟩Ufugaji wa kuku aina ya broiler.
—⟩kilimo Cha bustani.
—⟩biashara kama uwakala wa mitandao ya simu, duka la domestic services, biashara ya duka spear za pikipiki, nyingi nimefanya kazi na experience nazo,nafanya kwa moyo mmoja na kama kwakujitolea walau kwa malipo ya kujikimu.Nipo dar es salaam.0613252674, email Jacksonsambuo2@gmail.com.
Kwaupande wadhamini wapo
—⟩Ufugaji wa kuku aina ya broiler.
—⟩kilimo Cha bustani.
—⟩biashara kama uwakala wa mitandao ya simu, duka la domestic services, biashara ya duka spear za pikipiki, nyingi nimefanya kazi na experience nazo,nafanya kwa moyo mmoja na kama kwakujitolea walau kwa malipo ya kujikimu.Nipo dar es salaam.0613252674, email Jacksonsambuo2@gmail.com.
Kwaupande wadhamini wapo