Naomba kazi au connection za kazi

Naomba kazi au connection za kazi

We mjinga mbona umekasirika kuliko muomba kazi? 😂😂..katuomba yeye, ila matokeo yake wewe ndio umawashwa matako, shaur yako, tutakukuna sasa hiv..
Acha ukuda ,mbona unaleta itikadi za upinde MDA huu nakwambia ukwl sio unajificha au unazungumza kwa minajili kuwa hatukufahamu ,tupo katika hatua ya kujenga sio kubomoa hapa Mtu kaomba ajira ww unaleta mada ya Mtu katapeliwa unajiona uko sawa
 
Ajira Portal vipi?
1000009374.jpg
 
Hata mkipewa mnachagua chagua sana na kazi huwa hamjui kufanya nyie watoto wa humu JF. Kwakifupi watu wanajuta kuwapa kazi wala connection. Mmoja ametoka kutapeliwa na nyie vijana
Asante ndugu hila Kila siku ajari zinatokea barabarani nauzembe unakuta dreva so kwa mantiki hiyo madreva wote tusiwahamini na Wala tusipande magari au boda kisa dreva mmoja kusababisha ajari samahan kwa mfano huuu🙏🙏
 
Back
Top Bottom