Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Fala kweli wwKwanini utumie mifano ya wengine wakati ww mwenyewe Hauwezi kumsaidia Mtu,tujikite katika kujenga sio kinooma kama uwezo WA kumsaidia upo saidia kama haupo pita hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fala kweli wwKwanini utumie mifano ya wengine wakati ww mwenyewe Hauwezi kumsaidia Mtu,tujikite katika kujenga sio kinooma kama uwezo WA kumsaidia upo saidia kama haupo pita hivi
Hio imekuingia ...Fala kweli ww
Nitag huo uzimajuzi niliona uzi mtu akilalamika juu ya kijana aliomba kazi hapa kumbe ni mwizi kaenda kukoroga kazi na kuondoka na 1m
We jua tu kwamba we ni fala. Ukitaka kujua sababu uliza. Ila nyie vijana wa hovyo humu mmeshaharib sana na hamtapewa kaz trust meHio imekuingia ...
mimi mzee na uzee huu kupita jukwa mojamoja na bakora kuwinda uzi mbona nitatengua hiki kibiongo binti yanguNitag huo uzi
Sawa hamna shidamimi mzee na uzee huu kupita jukwa mojamoja na bakora kuwinda uzi mbona nitatengua hiki kibiongo binti yangu
huo uzi hadi na picha za huyo kijana mamluki zilikuwepo sema sikuchangia hivyo kupatani ngumuSawa hamna shida
Sawa babu, kaoge ulalehuo uzi hadi na picha za huyo kijana mamluki zilikuwepo sema sikuchangia hivyo kupatani ngumu
Usikurupuke kuja na ulevi wako kwa Mtu kaja kistaarabu Tu ,hajakuomba Shida zako kama Hauwezi msaidia pita hiviWe jua tu kwamba we ni fala. Ukitaka kujua sababu uliza. Ila nyie vijana wa hovyo humu mmeshaharib sana na hamtapewa kaz trust me
@Mharir @FangAct kuna kijana WA hovyo humu ,hazingatii kanuni za humuFala kweli ww
We mjinga mbona umekasirika kuliko muomba kazi? 😂😂..katuomba yeye, ila matokeo yake wewe ndio umawashwa matako, shaur yako, tutakukuna sasa hiv..Usikurupuke kuja na ulevi wako kwa Mtu kaja kistaarabu Tu ,hajakuomba Shida zako kama Hauwezi msaidia pita hivi
Mbwa kachoka wee@Mharir @FangAct kuna kijana WA hovyo humu ,hazingatii kanuni za humu
Acha ukuda ,mbona unaleta itikadi za upinde MDA huu nakwambia ukwl sio unajificha au unazungumza kwa minajili kuwa hatukufahamu ,tupo katika hatua ya kujenga sio kubomoa hapa Mtu kaomba ajira ww unaleta mada ya Mtu katapeliwa unajiona uko sawaWe mjinga mbona umekasirika kuliko muomba kazi? 😂😂..katuomba yeye, ila matokeo yake wewe ndio umawashwa matako, shaur yako, tutakukuna sasa hiv..
Kwan aliyetapeliwa juzi humu jukwaan si alipigwa kwa mtindo kama huu mnaouleta hapa, nyie watoto msitufanye wajingaMtu kaomba ajira ww unaleta mada ya Mtu katapeliwa unajiona uko sawa
niliomba bahati mbaya sikufanikiwa siku ambatanisha cheti changu Cha kuzaliwaAjira Portal vipi?
Ajira Portal vipi?
Kwan aliyetapeliwa juzi humu jukwaan si alipigwa kwa mtindo kama huu mnaouleta hapa, nyie watoto msitufanye wajing
Ndy professional yangu ualimuHuna kaelimu kokote?
Asante ndugu hila Kila siku ajari zinatokea barabarani nauzembe unakuta dreva so kwa mantiki hiyo madreva wote tusiwahamini na Wala tusipande magari au boda kisa dreva mmoja kusababisha ajari samahan kwa mfano huuu🙏🙏Hata mkipewa mnachagua chagua sana na kazi huwa hamjui kufanya nyie watoto wa humu JF. Kwakifupi watu wanajuta kuwapa kazi wala connection. Mmoja ametoka kutapeliwa na nyie vijana
Hamna, sina nia mbaya, ni precaution tuAsante ndugu hila Kila siku ajari zinatokea barabarani nauzembe unakuta dreva so kwa mantiki hiyo madreva wote tusiwahamini na Wala tusipande magari au boda kisa dreva mmoja kusababisha ajari samahan kwa mfano huuu🙏🙏