Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Umeandika kama Unakimbizwa na Mbwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli kabisa canavaro kiasili ni shabiki wa simba ila bila unafiki sidhani kama hayo mapenzi yapo hadi leoRegardless!
Mimi najali zaidi kile nilichokiona akikifanya uwanjani kwa mapenzi na uhodari.
Heri hata kikosi kiwe na wazanzibar nusu na wabara nusu, miaka nyingi wachezaji wa kizanzibar waliocheza ligi kuu na wazuri wamekuwa wazalendo kuliko wabaraNaunga mkono hoja jamaa anapambana sana yaani sana
Wazanzibar hucheza kwa passion na uzalendo kuliko bara.Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.
Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.
Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.
Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
Sasa game na Morocco angepanda peke yake awaache wenzake nyuma ?Game na morocco alizingua sana upande wake ulikua uchochoro ila game za zambia na congo kajitahidi tatizo akipanda hapigi krosi kwa usahihi
Alimkalisha Lameck Banda vizuri ambaye alikuwa anamhenyesha Haji Mnoga baada ya kubadili upande Lameck Banda akapotea mazima.Kitakwimu jana alikuwa kinara kwà upande wetu alana 4.0
Hongera sana Tshabalala
Hizo ligi zingine ulizotaja ukiondoa Laliga ndiyo nchi zenye watu wana maumbo makubwa kuliko UingerezaBacca yupo kwenye umri mzuri tu na ulaya sio lazima aende epl, laliga au bundersliga kuna ligi kama belgium, turkey anaweza akacheza.
Mbona Kim Min Jae ni mfupi na anakichafua au Leonardo BonnuciHao sio mabeki wa kati. Sasa messi umpange namba 5 alikabe jitu kama halaand kweli.?
Na ndio awe Captain,huyo mpuuzi Samantha msimuite tena Taifa StarsLaiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.
Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.
Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.
Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
David Alaba na Bacca wanatofautiana nini ?Hao sio mabeki wa kati. Sasa messi umpange namba 5 alikabe jitu kama halaand kweli.?
Anajitahidi ila umri unamtupa ila awe ndio captain msaidiziVipi kuhusu Tshabalala
Nteze John, Hussein Marsha Yanga lia lia na Edibilly Lunyamila Simba. Watu wanabadilika kama dini tu hamna jipya, kabila ndo halibadiliki.Pamoja na pongezi zako zote Kwake ila nasikitika tu kuwa hujafahamu / hujui kuwa Nadir Haroub Cannavaro ni mwana Simba SC lia lia wa Moyoni, kama ambavyo Watu wengi pia hawajui kuwa aliyewahi kuwa Nahodha mwenye Mafanikio na Simba SC Suleiman Matola ( sasa ni Kocha ) ni mwana Yanga SC kindakindaki sema tu Wote hawa Fedha za Yanga na Simba ziliwafanya wawe Wanafiki wa Kiushabiki kwa muda.
Na bahati nzuri wote hawa ni Marafiki zangu wakubwa tokea wakiwa Wachezaji na hata sasa tunakutana maeneo mbalimbali.
Himid Mao?Wazanzibar hucheza kwa passion na uzalendo kuliko bara.
Himid Mao
Nadir Haroub
Aggreiy Morris
Ona zarau kama hizi:Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.
Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.
Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.
Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
Bacca ni beki mzuri si mahiri.Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.
Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.
Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.
Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
Wanaweza wakawa na maumbo makubwa lakini ukawazidi mbinu. Epl, laliga, bundersliga, serie a ni ligi za daraja la juu sana pale wanakutana wale finest talents udhaifu wako mmoja tu watu watautumia ipasavyo.Hizo ligi zingine ulizotaja ukiondoa Laliga ndiyo nchi zenye watu wana maumbo makubwa kuliko Uingereza
Bacca anaweza kucheza ligi yoyote tatizo hana agent tu.
Lakini technically ana tuck maboksi yote.
Pale Yanga Dickson Job pamoja na ufupi wake lakini ndiyo huwa anaongoza misimu yote kwa aerial duels
Mkuu sio kwamba ukiwa na umbo la kawaidia huwezi kumudu ni kwamba technicaly inabidi uwe miles ahead ya waliokuzidi umbo. Bacca angekua tall na ile fighting spirit yake wakubwa wa ulaya wangemdaka uko uko ivory coast.Mbona Kim Min Jae ni mfupi na anakichafua au Leonardo Bonnuci
Asante niongezee Tusi lingine tafadhali kwani hili ulilotoa hapa bado halijanitosha.Umeandika kama Unakimbizwa na Mbwa
Yapo, ila ni makini mno katika Kuyaficha.Nikweli kabisa canavaro kiasili ni shabiki wa simba ila bila unafiki sidhani kama hayo mapenzi yapo hadi leo