Naomba Kikosi kijacho cha Taifa Stars kiteuliwe kwa Kuangalia Uzalendo, Uchungu na Upambaji wa Beki Ibrahim Baka

Naomba Kikosi kijacho cha Taifa Stars kiteuliwe kwa Kuangalia Uzalendo, Uchungu na Upambaji wa Beki Ibrahim Baka

Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.

Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.

Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.

Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
Wazanzibar hucheza kwa passion na uzalendo kuliko bara.

Himid Mao
Nadir Haroub
Aggreiy Morris
 
Bacca yupo kwenye umri mzuri tu na ulaya sio lazima aende epl, laliga au bundersliga kuna ligi kama belgium, turkey anaweza akacheza.
Hizo ligi zingine ulizotaja ukiondoa Laliga ndiyo nchi zenye watu wana maumbo makubwa kuliko Uingereza

Bacca anaweza kucheza ligi yoyote tatizo hana agent tu.

Lakini technically ana tuck maboksi yote.

Pale Yanga Dickson Job pamoja na ufupi wake lakini ndiyo huwa anaongoza misimu yote kwa aerial duels
 
Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.

Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.

Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.

Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
Na ndio awe Captain,huyo mpuuzi Samantha msimuite tena Taifa Stars
 
Pamoja na pongezi zako zote Kwake ila nasikitika tu kuwa hujafahamu / hujui kuwa Nadir Haroub Cannavaro ni mwana Simba SC lia lia wa Moyoni, kama ambavyo Watu wengi pia hawajui kuwa aliyewahi kuwa Nahodha mwenye Mafanikio na Simba SC Suleiman Matola ( sasa ni Kocha ) ni mwana Yanga SC kindakindaki sema tu Wote hawa Fedha za Yanga na Simba ziliwafanya wawe Wanafiki wa Kiushabiki kwa muda.

Na bahati nzuri wote hawa ni Marafiki zangu wakubwa tokea wakiwa Wachezaji na hata sasa tunakutana maeneo mbalimbali.
Nteze John, Hussein Marsha Yanga lia lia na Edibilly Lunyamila Simba. Watu wanabadilika kama dini tu hamna jipya, kabila ndo halibadiliki.
 
Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.

Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.

Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.

Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
Ona zarau kama hizi:
Screenshot_20240125-174319.jpg
 
Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.

Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.

Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.

Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
Bacca ni beki mzuri si mahiri.
 
Hizo ligi zingine ulizotaja ukiondoa Laliga ndiyo nchi zenye watu wana maumbo makubwa kuliko Uingereza

Bacca anaweza kucheza ligi yoyote tatizo hana agent tu.

Lakini technically ana tuck maboksi yote.

Pale Yanga Dickson Job pamoja na ufupi wake lakini ndiyo huwa anaongoza misimu yote kwa aerial duels
Wanaweza wakawa na maumbo makubwa lakini ukawazidi mbinu. Epl, laliga, bundersliga, serie a ni ligi za daraja la juu sana pale wanakutana wale finest talents udhaifu wako mmoja tu watu watautumia ipasavyo.
 
Mbona Kim Min Jae ni mfupi na anakichafua au Leonardo Bonnuci
Mkuu sio kwamba ukiwa na umbo la kawaidia huwezi kumudu ni kwamba technicaly inabidi uwe miles ahead ya waliokuzidi umbo. Bacca angekua tall na ile fighting spirit yake wakubwa wa ulaya wangemdaka uko uko ivory coast.
 
Back
Top Bottom