- Thread starter
- #21
Actually ilikuwa ni MOFCOM Scholarship ya ChinaWengi huwa wakimaliza degree wanaambiwa waunge masters na baba zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Actually ilikuwa ni MOFCOM Scholarship ya ChinaWengi huwa wakimaliza degree wanaambiwa waunge masters na baba zao
Enzi hizo sio miaka hii ........mavyeti kila mahala yapo saiziHaya mambo wala hayana formula, huyu mwenye masters baada ya mwaka atakunja 5M wewe utabaki na 2m yako. Just be humble
Baada ya kusoma Degree ungesoma CCNA na CISA ndio uende masters, masters sio professional,Thanks for your reply
Kuhusu experience baada ya kumaliza Bachelor nimefanya kazi miaka 5 kwa software development ndio nikaenda kusoma Masters. Nilikuwa nazungumzia experience ya Data Analysis
Naona umeamua kuongea kizungu ili umuipruvu rongi[emoji23][emoji23][emoji23]Thanks for your reply
Actually tangu nimemaliza Bachelor I was on the job (Software Engineering) for 5 years now paid more than that salary you are talking about. Na hata nilivyokuwa nasoma abroad nilikuwa naendelea kulipwa salary na bado ni mwajiriwa ila kuna nafasi za kazi zinazotoka za Data Science nataka ku apply kama opportunity ikitick ni shift job
Thanks
Nacheka anavyokebehi. Ukute kazi yenyewe kapewa kwa ki memoHaya mambo wala hayana formula, huyu mwenye masters baada ya mwaka atakunja 5M wewe utabaki na 2m yako. Just be humble
Experience ndio itakubeba na sio mastersThanks for your reply
Kuhusu experience baada ya kumaliza Bachelor nimefanya kazi miaka 5 kwa software development ndio nikaenda kusoma Masters. Nilikuwa nazungumzia experience ya Data Analysis
Inafikirisha,Thanks for your reply
Kuhusu experience baada ya kumaliza Bachelor nimefanya kazi miaka 5 kwa software development ndio nikaenda kusoma Masters. Nilikuwa nazungumzia experience ya Data Analysis
Thanks for your reply
Actually tangu nimemaliza Bachelor I was on the job (Software Engineering) for 5 years now paid more than that salary you are talking about. Na hata nilivyokuwa nasoma abroad nilikuwa naendelea kulipwa salary na bado ni mwajiriwa ila kuna nafasi za kazi zinazotoka za Data Science nataka ku apply kama opportunity ikitick ni shift job
Thanks