Naomba kuelewa nikiwa na Masters nikaomba kazi yenye Qualification ya Bachelor

Naomba kuelewa nikiwa na Masters nikaomba kazi yenye Qualification ya Bachelor

Thanks for your reply

Kuhusu experience baada ya kumaliza Bachelor nimefanya kazi miaka 5 kwa software development ndio nikaenda kusoma Masters. Nilikuwa nazungumzia experience ya Data Analysis
Baada ya kusoma Degree ungesoma CCNA na CISA ndio uende masters, masters sio professional,
 
Thanks for your reply

Actually tangu nimemaliza Bachelor I was on the job (Software Engineering) for 5 years now paid more than that salary you are talking about. Na hata nilivyokuwa nasoma abroad nilikuwa naendelea kulipwa salary na bado ni mwajiriwa ila kuna nafasi za kazi zinazotoka za Data Science nataka ku apply kama opportunity ikitick ni shift job

Thanks
Naona umeamua kuongea kizungu ili umuipruvu rongi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Thanks for your reply

Kuhusu experience baada ya kumaliza Bachelor nimefanya kazi miaka 5 kwa software development ndio nikaenda kusoma Masters. Nilikuwa nazungumzia experience ya Data Analysis
Experience ndio itakubeba na sio masters
 
Thanks for your reply

Kuhusu experience baada ya kumaliza Bachelor nimefanya kazi miaka 5 kwa software development ndio nikaenda kusoma Masters. Nilikuwa nazungumzia experience ya Data Analysis
Inafikirisha,



Hili swali lako hawezi kuuliza mtu mwenye 5 years experience +masters, that's too low.
 
Thanks for your reply

Actually tangu nimemaliza Bachelor I was on the job (Software Engineering) for 5 years now paid more than that salary you are talking about. Na hata nilivyokuwa nasoma abroad nilikuwa naendelea kulipwa salary na bado ni mwajiriwa ila kuna nafasi za kazi zinazotoka za Data Science nataka ku apply kama opportunity ikitick ni shift job

Thanks

Aisee!
 
Back
Top Bottom