Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani timu iliyo na magoli 59 ndio iwe ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga goli kila mchezo. Vipi kwa timu iliyokuwa na magoli 63 na 71?Mbona kiswahili chepesi sana hicho na kimenyooka. Nitakufafanulia usjali mjomba.
1. Simba sc = Timu ya mpira ya kariakoo mtaa wa msimbazi Dar.
2. Pekee = Hakuna ingine ya kufananisha nayo
3. Bao = goli
4. Kila mchezo = Michezo yote iliyoshiriki
5. Msimu = sio lisimu la mkononi likuubwa hapana, manaake ni kipindi kilichopangwa kukamilisha michezo kwa mwaka husika.
Nadhani umeelewa sasa
Leta mechi iliyopata matokeo ya 0 - 0 Au ushindi bila kuruhusu goli 1 - 0, 2 - 0, 3 - 0, 4 - 0, 5 - 0Yaani timu iliyo na magoli 59 ndio iwe ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga goli kila mchezo. Vipi kwa timu iliyokuwa na magoli 63 na 71?
Kwahiyo timu yenye magoli 59 ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kupata goli kila mechi, vipi timu iliyo na magoli 30? Vipi timu iliyokuwa na magoli 71? Vipi timu iliyokuwa na magoli 63?Wabongo ndiyo watu wasioelewa pengine dunia nzima..
Hata lugha yao hawaielewi.
Sio wastaani. Tofautisha maana ya wastani na actual performance. Hii ina maana hakuna mchezo wa ligi ambao simba imecheza ikakosa bao. Hata ikitoa droo ni kuanzia 1 -1. Ikifungwa maana itapoteza kwa kupata goli kuanzia mojaYaani timu iliyo na magoli 59 ndio iwe ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga goli kila mchezo. Vipi kwa timu iliyokuwa na magoli 63 na 71?
Wewe ni kichwa ngumu. Mwalimu wako alipata kazi ngumu, nashauri aongezewe pensheni.Kwahiyo timu yenye magoli 59 ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kupata goli kila mechi, vipi timu iliyo na magoli 30? Vipi timu iliyokuwa na magoli 71? Vipi timu iliyokuwa na magoli 63?
Siyo takwimu za wastani hizo, yani kila mechi simba waliyocheza wamefunga goli, ndani ya mechi 30 simba kafanikiwa kupata goliYaani timu iliyo na magoli 59 ndio iwe ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga goli kila mchezo. Vipi kwa timu iliyokuwa na magoli 63 na 71?
Yaani timu iliyo na magoli 59 ndio iwe ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga goli kila mchezo. Vipi kwa timu iliyokuwa na magoli 63 na 71?
Sio wastani. Imefunga kila mechi. ligi ina mechi 30+ hivyo wao wamefunga kila mechi angalau goli moja. Hata akifungwa anapata goli(1-2 au 1-3). Hawana matokeo ya 0-0. Huyo mwenye 63 au 71 kuna mechi katoka suluhu(0-0) au akifungwa hapati goli(0-1 au 0-2).Kwahiyo timu yenye magoli 59 ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kupata goli kila mechi, vipi timu iliyo na magoli 30? Vipi timu iliyokuwa na magoli 71? Vipi timu iliyokuwa na magoli 63?
Wenye akili kule ni wawili tuu usitegemee aeleweMtoa bandiko ukielewa uwashukuru waliokuelewesha hadharani kama ambavyo umeuliza hadharani.
Mkuu ligi ana mechi 30, unaweza kua na magoli 200 lakini ikatokea Kuna Mechi hukufunga goli, na Kuna timu ikawa na goli 30 lakini ikawa umefunga goli Moja Kila mechi, mbona kiswahili chepesi tuKwahiyo timu yenye magoli 59 ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kupata goli kila mechi, vipi timu iliyo na magoli 30? Vipi timu iliyokuwa na magoli 71? Vipi timu iliyokuwa na magoli 63?
Kwanzia mwanzo wa post hadi hapa ni wewe na dr. Restart ndio mlioleta kejeli wakati mtu kaomba kueleweshwa. Hakuna binadamu anayeweza kufahamu au kuelewa kila kitu duniani. Ndio maana kuna kitu kinaitwa ufafanuzi. Ila kwavile umesema wenye akili ni wawili naomba nikubaliane na takwimu yako kuwa ni heri wapo wawili kuliko upande wa pili wote ni mbumbumbuWenye akili kule ni wawili tuu usitegemee aelewe
Tumia akili basi,au huna?Yaani timu iliyo na magoli 59 ndio iwe ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga goli kila mchezo. Vipi kwa timu iliyokuwa na magoli 63 na 71?
Elimu..Nimesoma mara mbili mbili sijaelewa hii takwimu wamemaanisha nini, kilichonishangaza zaidi ni kutumika kwa neno pekee kwa maana hakuna nyingine mwenye takwimu ya namna hiyo.
hapo inatafutwa tuzo mpya mwezi wa nane na sasa inatengenezwa akabidhiwe mtu. tumeanza kupangwa mapemaaaaaaaaaaaaLeta mechi iliyopata matokeo ya 0 - 0 Au ushindi bila kuruhusu goli 1 - 0, 2 - 0, 3 - 0, 4 - 0, 5 - 0
AahaaaaaMbona kiswahili chepesi sana hicho na kimenyooka. Nitakufafanulia usjali mjomba.
1. Simba sc = Timu ya mpira ya kariakoo mtaa wa msimbazi Dar.
2. Pekee = Hakuna ingine ya kufananisha nayo
3. Bao = goli
4. Kila mchezo = Michezo yote iliyoshiriki
5. Msimu = sio lisimu la mkononi likuubwa hapana, manaake ni kipindi kilichopangwa kukamilisha michezo kwa mwaka husika.
Nadhani umeelewa sasa