Naomba kueleweshwa kuhusu matokeo ya darasa la saba yaliyozuiliwa (withhold)

Naomba kueleweshwa kuhusu matokeo ya darasa la saba yaliyozuiliwa (withhold)

orturoo

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2017
Posts
2,947
Reaction score
4,876
Habari za leo wadau wa jf ,bila shaka weekend imekaa poa.

Naomba mwenye uelewa kuhusu kushikiliwa (withhold) kwa matokeo ya darasa la saba kwa baadhi ya shule ,je ni nini hatma ya wanafunzi na vituo vilivyofungiwa? Naomba mwenye uelewa wa mambo hayo.
 
Back
Top Bottom