Naomba kueleweshwa zaidi kuhusu Dextrose, Normal Saline na Ringer's Lactate

Naomba kueleweshwa zaidi kuhusu Dextrose, Normal Saline na Ringer's Lactate

Sina mood

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
248
Reaction score
1,442
Hizi fluids tatu zinanichanganya sana matumizi yake.

Normal Saline ninachojua inatumika kwa mtu aliyepata dehydration au vomiting, kwa hiyo wanampa ili ku replace zile electrolytes zilizopotea. Concentration yake hatakiwi kupewa mama mjamzito au mwenye high BP.

Ringer Lactate nayo kama NS. Dextrose nafahamu inatumika kupandisha sukari kwa mtu mwenye sukari iliyochini.

Sasa mtihani unakuja hapa kwenye mambo ya D5, D10 nk

Naomba kueleweshwa zaidi.

===
Baadhi ya majibu

D5%, D10%, D50% nk ina maanisha kiwango cha sukari kilichomo kwenye hiyo fluid. Mfano D5% ina kiwango kidogo cha sukari ukilinganisha na D10%, kadharika D10% ina kiwango kidogo cha sukari ukilinganisha D50%. Lakini zote zinatumika kutibu hypoglycemia, kwa kutegemea na level of hypoglycemia

===

D5% ,D10% na D50% kinachotofautisha ni concentrarion tu..

Mfano D5% ni kusema;

5g ya dextrose sugar kwenye 100ml ya solvent(water).

D50%

50g ya dextrose sugar kwenye 100ml ya solvent(water).
 
Naona makanjanja huu uzi tunauchungulia tu [emoji1]

Ova
 
D5% ,D10% na D50% kinachotofautisha ni concentrarion tu..

Mfano D5% ni kusema;

5g ya dextrose sugar kwenye 100ml ya solvent(water).

D50%

50g ya dextrose sugar kwenye 100ml ya solvent(water).
 
Hizi fluids tatu zinanichanganya sana matumizi yake.

Normal Saline ninachojua inatumika kwa mtu aliyepata dehydration au vomiting kwa hiyo wanampa ili...
D5%, D10%, D50% nk ina maanisha kiwango cha sukari kilichomo kwenye hiyo fluid. Mfano D5% ina kiwango kidogo cha sukari ukilinganisha na D10%, kadharika D10% ina kiwango kidogo cha sukari ukilinganisha D50%. Lakini zote zinatumika kutibu hypoglycemia, kwa kutegemea na level of hypoglycemia
 
D5%, D10%, D50% nk ina maanisha kiwango cha sukari kilichomo kwenye hiyo fluid. Mfano D5% ina kiwango kidogo cha sukari ukilinganisha na D10%, kadharika D10% ina kiwango kidogo cha sukari ukilinganisha D50%. Lakini zote zinatumika kutibu hypoglycemia, kwa kutegemea na level of hypoglycemia
uzi umeishia hapa,shukrani.
 
Halafu pia D50% inatumika kwenye Hyperkalemia kushift potassium kwenye cells..

MD3 kula shule hiyo kama bado hujaisoma Hyperkalemia protocol.
 
Wala bwana MD3 usiogope, ukija huku hospitali mambo n shagalabagala, haya mambo yooote wanayowafundisha ukifika kwa ground mambo n very different .
Jiandae kwa stress na upigaji mwingi
 
Wala bwana MD3 usiogope, ukija huku hospitali mambo n shagalabagala, haya mambo yooote wanayowafundisha ukifika kwa ground mambo n very different .
Jiandae kwa stress na upigaji mwingi
Mshauri dogo ale kitabu..atakuja kupata aibu bure..
 
Halafu pia D50% inatumika kwenye Hyperkalemia kushift potassium kwenye cells..

MD3 kula shule hiyo kama bado hujaisoma Hyperkalemia protocol.
Navyojua hiyo kushift Potassium to inside the Cell, ni Insulin ndio inafanya hiyo kazi.
By increasing the activity of Na+/K+ ATPase Pump.

Kazi ya D50% kwenye Hyperkalemia ni kureduce effect ya Insulin kwenye Blood Sugar.
 
Back
Top Bottom