Naomba kueleweshwa zaidi kuhusu Dextrose, Normal Saline na Ringer's Lactate

Naomba kueleweshwa zaidi kuhusu Dextrose, Normal Saline na Ringer's Lactate

D5% ,D10% na D50% kinachotofautisha ni concentrarion tu..

Mfano D5% ni kusema;

5g ya dextrose sugar kwenye 100ml ya solvent(water).

D50%

50g ya dextrose sugar kwenye 100ml ya solvent(water).
nimekupata chief
 
Navyojua hiyo kushift Potassium to inside the Cell, ni Insulin ndio inafanya hiyo kazi.
By increasing the activity of Na+/K+ ATPase Pump.

Kazi ya D50% kwenye Hyperkalemia ni kureduce effect ya Insulin kwenye Blood Sugar.
Yes ndo hivyo inatumika kuzuia hypoglycemic condition baada ya mtu kupata insulin bolus ..niliandika tu fasta fasta.
 
Back
Top Bottom