Naomba kueleweshwa zaidi kuhusu Dextrose, Normal Saline na Ringer's Lactate

D5% ,D10% na D50% kinachotofautisha ni concentrarion tu..

Mfano D5% ni kusema;

5g ya dextrose sugar kwenye 100ml ya solvent(water).

D50%

50g ya dextrose sugar kwenye 100ml ya solvent(water).
nimekupata chief
 
Navyojua hiyo kushift Potassium to inside the Cell, ni Insulin ndio inafanya hiyo kazi.
By increasing the activity of Na+/K+ ATPase Pump.

Kazi ya D50% kwenye Hyperkalemia ni kureduce effect ya Insulin kwenye Blood Sugar.
Yes ndo hivyo inatumika kuzuia hypoglycemic condition baada ya mtu kupata insulin bolus ..niliandika tu fasta fasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…