mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
Wasalaam wana jamvi!
Mimi ni kijana ambaye baada ya kumaliza degree yangu mwaka juzi nikaunganisha kusoma master. Kwa sasa nasoma master of public health (MPH) hapa Muhimbili nategemea kumaliza mwaka huu.
Naombeni kujua kutoka kwa wadau wanaoijua hii ishu ninayosomea kazi zake katika private sectors na international organizations
Je ni kweli zipo kama tunavyoambiwa? Na salary zake zipoje? Na pia nitapenda kama mtanipa mawazo mbalimbali na mapendekezo kuhusiana na mada husika.
Naamini kuna watu pia watajifunza kwenye mada hii.
Asanteni!
Mimi ni kijana ambaye baada ya kumaliza degree yangu mwaka juzi nikaunganisha kusoma master. Kwa sasa nasoma master of public health (MPH) hapa Muhimbili nategemea kumaliza mwaka huu.
Naombeni kujua kutoka kwa wadau wanaoijua hii ishu ninayosomea kazi zake katika private sectors na international organizations
Je ni kweli zipo kama tunavyoambiwa? Na salary zake zipoje? Na pia nitapenda kama mtanipa mawazo mbalimbali na mapendekezo kuhusiana na mada husika.
Naamini kuna watu pia watajifunza kwenye mada hii.
Asanteni!