clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,387
- 2,516
Wasalimie sana hapo MUHAS mkuu, shule ya hapo imeninyosha sana hadi sina hamu tena kurudi darasani.
Hii niliyoipata inatosha kuniwezesha kukabiliana na mazingira.
Pia kuhusu suala lako, siku nyingine ukitaka kufanya jambo, fanya utafiti wa kina ili kuepuka mkanganyiko kama huu ambao unaweza kuwa na athari kiasi fulani katika malengo yako
Imekunyooshaje mkuu