mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
Swali zuri sana. Kwa maana sio lazima Atafute fursa kwa Masters yake. Bachelor degree ni elimu kubwa sana anaweza tumiaFirst degree yako ulifanya Kwenye medical or non medica course?
MPH siku hizi inasemekana haina soko sana kama zamani wakati wasomi walipokuwa wachache..
Siku hizi naskia hata anayesoma MMED lazima asome na MPH kwahio MMED woote wanaweza kufanya na kazi zakiutawala kama MPH kwahio soko linachange hivyo.
Kwa maelezo zaidi unaweza kuuliza walioko kwenye system..
I stand to be corrected
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini wewe Mutu MUREFU kipi kilikusahaulisha hadi toka unaanza kusomea issue hii ushindwe kuuliza then uje kuuliza leo ukiwa unakaribia kumaliza?
Kwanini kabla wakati unaanza hukuuliza kwanza ili ujue kama inafaa au haifai ili ubadilishe mapema?hapa naona utajipa stress tu muhimu omba Mungu umalize akusaidie upate pakujishikiza ila kosa ulilifanya toka mwanzo.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
First degree yako ulifanya Kwenye medical or non medica course?
Bachelor of health systems management from mzumbe university
Bachelor of health systems management from mzumbe university
Bachelor degree yako Ni marketable kwa sasa kwa level yako Kuliko masters
Mpango wa Sasa hivi wa Serikal ni kuunganisha Hospital zote a Rufaa, Mikoa mpaka a Wilaya Na Mfumo wa Tehama hivyo ndani ya Muda mfupi kutakuwa Na mahitaji ya watu wa IT, sasa advantage yako Itakuwa Wewe Ni Mtu wa IT Tena ya upande wa Health
Kama uta fanikiwa kupata ajira then Baada ya Muda mfupi wa experience hiyo Masters yako Kama utafanikiwa kumaliza ndio Itakuwa added advantage ya kupata nafasi ya senior level but inategemeana Na uwezo wako wa kufanya kazi sio cheti peke yake.
Haina soko kwa sasa kuna mdada namfahamu alimaliza mwaka juzi hadi sasa yupo tu mtaani anaungaunga maisha...
PH ilikuwa zamani
mwaka wako utakuwa umemaliza na mtoto mmoja mzuri sana anaitwa anitha...
Unasoma soma tu hovyo
Nenda kazni fanya kazi ndo ujue unaongeza wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimaliza 2017... nikapata kazi kufundisha chuo cha diploma nikafanya kazi kwa mwaka mmoja na kitu (since july 2017 mpaka november 2018) ndipo nikaja kusoma hapa (ni one year kwa muhimbili)
My interest ni kupata kazi international organizations maana niliambiwa wanalipa pesa ndefu sana kwa MPH
Unaona sasa matatizo yko unasomea mshahara ko ikitokea umekosa hzo int org n sawa na kupoteza mda
Sent using Jamii Forums mobile app
Du kweli wonders will never end.
Hivi unaanzaje kusoma kitu usichokipenda na usichojua hatima yake. Kama unapenda kufanya kazi kwenye health sector hats ukiwa Nurse, you name it. Kazi zipo nyingi Sana BUT, unatafuta ajira ama unataka kutoa huduma au kujenga carrier au kupata pesa.
Ukimaliza fanya kazi ya kuvolunteer miezi miwili kwenye mojawapo ya hospitality, onyesha umahiri wako utapata kazi nje ya hapo, Betting inalipa zaidi kuliko kukaa bure.