Naomba kuelezwa kuhusu Shahada ya Uzamili ya Public Health


Imekunyooshaje mkuu
 

Prof. Simba sku hizi hayupo.

Prof. Kazaura mzee wa kujisifu dah wahaya wanashida sana.
 
Cc. Mwifwa
 
Imekunyooshaje mkuu
Hahahaaaa.

Mambo yalishabadilika nilishasahau kama nilisoteshwa/henyeshwa na Shule ya MUHAS.

Siku zote ukikwama kwenye plan au usipoplan ipasavyo lazima utahangaika kuitekeleza, nina imani nilikwama hapa
 
Mimi ndio namalizia MPH. By mwakani katikati nitagraduate if God wishes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…