Naomba Kuelimishwa Hichi Kitu Kwenye Kampuni

Kumbe kitu chenyewe tayari unakijua.......mkuu vepee?
Unakulaga ndumu?
Unakera sana, ni vile hujajua tu. Kama hujui kitu usipende kumwaga shombo, chukua time kukijua, na sio unaanza ku comment ushuzi.

Unakuja na comment zako hapa kama umeona ndofonga...

Acha hizo wewe, mimi ndumu nasongea ugali nakula na bangi kama mboga.
 
Wewe unatafuta kesi ya kukwepa Kodi na uhujumu uchumi

Halafu uhujumu uchumi kesi yake Haina dhamana
 
Huu uzi umenionesha kwamba watanzania kumbe kuna mambo mengi sana hatuyajui kuhusu kuendesha makampuni.

Namshukuru bwana M.Rutabo yeye ndo naona amenijibu kitu ambacho kumbe nimegundua kingepaswa kuwepo kwenye kuandaa memart.

UZI UMEFUNGWA RASMI, MAANA NAONA HIZI COMMENT NAZOPATA HAZIJAKAA KISAYANSI YA FEDHA KABISA, WATU WENGI VILAZA AISEE NIMEAMINI....
 
Nakwepaje kodi na hiyo practice ipo allowed kisheria?
Unaweza kutuona vilaza ila Kuna namna unaweza onekana umekwepa Kodi, mfano unajikopesha hapo afu unajikopesha na riba, unakampuni ya kukopesha ela? Wataona unaiingiza kampuni kwenye mikopo Ili mwisho wa siku faida iwe 0 maana ndo ile umeihamishia kwenye mkopo

All the best mkuu Mimi sio expert wa hizo mambo just shared the little I know
 
ukitoa mkopo sio lazima uwe una kampuni ya kukopesha au leseni. Kuna mikopo ambayo haipo regulated popote mfano hii ya watu kukopeshana kimtaani, mbona haikatazwi?
 
"".....ila atatakiwa kulipa kodi akipokea faida (interest) hii itakatwa kodi kama personal income tax.""

Naomba maelezo zaidi hapa? @ itakatwa direct kutoka kwenye vitabu vya kampuni au???

Analipaje??

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
UMENIWAZISHA VYEMA..!!!
Asante

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Nimeeleza hapo. Itisha kikao cha board, andaa muhtasari. Deposite hela kwenye account ya kampuni. Then utakuwa unaionyesha kwenye vitabu vya mahesabu vya kampuni.

Wanahisa wanaweza kukopa kutoka kwenye kampuni na wanaweza kuikopesha kampuni. Ikiwa kila kitu kinafanyika kwa uwazi hakuna tatizo lolote kisheria.
 
Unamuweka alafu unampa share 1 au 2. Kama umempa share nyingi jua umetafuta matatizo ya siku zijazo (unless awe mwanamke mwenye akili na busara).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…