Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

JIWE ALIKUWA NA PH.D YA MAGUMASHI NA NDIO MAANA ALIKUWA ANAWAKA BEN SAANANE ALIPOKUWA ANAHOJI JUU YA UHALALI WA PH.D YAKE!!! MASIKINI IKAWA NDIO HUKUMU YAKE NA KUPOTEZWA.
Kabla ya PhD manake alikuwa na degree ya kwanza na ya pili masters tupo sawa!
Zau nimekuacha!
 
Kabla ya PhD manake alikuwa na degree ya kwanza na ya pili masters tupo sawa!
Zau nimekuacha!
Sio lazima uwe na Masters degree ili kutunukiwa PhD!
Nawafahamu watu waliofuzu degree ya kwanza na kwenda straight kwenye PhD program!!
Lakini Sio vyuo vya bongo!
 
Mwenzio saa 8 hivi hivi aliuliza mpaka leo yuko mahali pema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…