Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Haya yote yanatoka wapi?! Acha kupanikiWewe jamaa niliwahi kukwambia utat.ombewa mpaka mke wako, unakuwa mpashkuna sana wa mitandaoni. Watoto wako utakuja kuwarithisha akaunti za Twitter, JF, insta, fb etc wenzio wakiacha akaunti za benki zimenona. Tafuta pesa ya Samia mwachie mwenyewe. Mmeshaambiwa Kigogo ni January Malope na wenzie, wamenyimwa nafasi Kama walivyotarajia wameanza kuonyesha hasira. Nakuhakikishia zamu watanyooshwa asubuhi sana.
Acha upumbavu mzeeKumbe mko mitandaoni hata mambo ya msingi hamyajui.
Unaweza kuwa na masters bila kwanza kuwa na bachelor degree?Hana ila ana masters ya kuunga unga. Huyo alifeli form four,sema aliunga unga. Ila katika maisha mwisho ndo unaocount. Nampongeza baada ya kufeli skuli,hakukata tamaa.
Kuwa Rais wa Tanzania siyo lazima uwe na Degree.
Degree ni upumbavu mwingine usio na maana yoyote.
Leta hicho kifungu cha KATIBA.
Tuhuma gani, acha umbea.
Kwani kuna mahala katiba inasema rais lazima awe na degree?
Moderator mnaruhusu umbea na uzushi kama huu kwenye hii platform ni kupoteza credibility ya hii platform.
Mtu anaibuka tu kutoka huko anaharisha uzushi bado mnamuacha tu.
Degree ni lazima wakuu... Someni Katiba kabla ya kubisha.Leta kifungu, acha kuruka ruka kama ngedere.
Ana hekima na busara ambazo ni zaidi ya phd na mokorokoro yote unayoyajua kwenye dunia hii.
Hizi ni sifa adimu sana kwa wanadamu wa leo dunia nzima
Kwani wewe unashindwa kuleta hicho kifungu cha katiba kinachosema hivyo, si ukiseme?Degree ni lazima wakuu... Someni Katiba kabla ya kubisha.
Leta hicho kifungu, tufunge mjadala.Degree ni lazima wakuu... Someni Katiba kabla ya kubisha.
Unaweza kuwa na masters bila kwanza kuwa na bachelor degree?
Mwisho wa siku watu wataanza kuuliza, kwanini Nyerere hakusoma Form 5 na Form 6 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hana ila ana masters ya kuunga unga. Huyo alifeli form four,sema aliunga unga. Ila katika maisha mwisho ndo unaocount. Nampongeza baada ya kufeli skuli,hakukata tamaa.
Katiba yetu inataja kiwango cha elimu cha angalau first degree ndiyo uqualify kuwania na kuwa rais wa nchi hiiKuwa Rais wa Tanzania siyo lazima uwe na Degree.
Degree ni upumbavu mwingine usio na maana yoyote.
Note: Sijasema anayo au hana: Ila degree karne hii ya 21 siyo issue. Dunia iko kwenye SKILLS na PERFORMANCE.
Wenye vyeti feki hamuwezi kumuelewa MagufuliMagu alikuwa na PhD lakini akili yake kama ya Chikumbalaga [emoji1787]
Mama kalipuliwa huko mtandaoni kwa mambo/tuhuma kadhaa ambazo siwezi kuziweka hapa ila mojawapo inahusu yeye kutokuwa na degree(hayo mengine tuyaache).
Lakini nakumbuka wakati wanatoa wasifu wake (kama niko sahihi),waligusia swala la yeye kujiendeleza kielimu na kufika mbali na kama sikose, alisoma mpaka huko Ulaya.
Swali ni je,madai haya yanatoka wapi kama ni kweli?
Kazi nyingine imeanza huko Twitter na inabidi iendelee kama kauli mbiu yake inavyosema.Sasa sijui atavumilia kwa hizi nondo alizopigwa na yule jamaa kule Twitter?
Wacha tubaki watazamaji.
Kwani Masters siyo degree dada?Hana ila ana masters ya kuunga unga. Huyo alifeli form four,sema aliunga unga. Ila katika maisha mwisho ndo unaocount. Nampongeza baada ya kufeli skuli,hakukata tamaa.