Naomba kufahamishwa kuhusu baiskeli za umeme

Naomba kufahamishwa kuhusu baiskeli za umeme

Adolph Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
5,950
Reaction score
9,511
Ni muda sasa baada ya kusikia kuhusu vifaa hivi vya umeme (kuchaji)....Hivyo ninauhitaji navyo lakini ni bora kufahamu kuhusu vipengele hivi...

1:- Je baiskeli za umeme zipo tz na zinapatikana wapi dar au nyanda za kusini..

2:- Kama zipo kampuni gani ni bora na imara...?.

3:- Gharama zake kama naweza kuzifahamu...
 
Sitaki kujibu mambo mengi ila kwa mbeya hazifai, kwa milima hiyooo.
Pia nyingi nzuri huenda kwa 60Km kwa full charge
Inategemea una nunua ya uwezo gani kila kitu kinatengenezwa kulingana na uwezo wa pesa.
Unaweza kununua hii
Speed 110km/h
Uwezo km 85 kutembea
Kuchaji masaa 6-8
Screenshot_20230301-174432_AliExpress.jpg
 
kampuni zinazotamba kuna
linkall
sinoray
jxb

sifa
kuna zenye batery 4, 5 na 6
bei inategemea na uwingi wa batery na shape.
zenue batery 4 huwa haziendi umbali mrefu, almost 50km charg imeisha na top speed huwa ni 45km/h na bei inarange from 1.2m hadi 1.5m

zenye batery 6 zinaenda mpaka 70km ndo charg iishe na top speed ni 60km/h na bei ina range from 1.5m hadi 2.3m kutegemeana na aina ya kampuni.
 
Duuuh kwa hii bei ya mafuta bora tuhamie huku.
 
kampuni zinazotamba kuna
linkall
sinoray
jxb

sifa
kuna zenye batery 4, 5 na 6
bei inategemea na uwingi wa batery na shape.
zenue batery 4 huwa haziendi umbali mrefu, almost 50km charg imeisha na top speed huwa ni 45km/h na bei inarange from 1.2m hadi 1.5m

zenye batery 6 zinaenda mpaka 70km ndo charg iishe na top speed ni 60km/h na bei ina range from 1.5m hadi 2.3m kutegemeana na aina ya kampuni.
Hizi kampuni zipo hapa tz ,Dar
 
kampuni zinazotamba kuna
linkall
sinoray
jxb

sifa
kuna zenye batery 4, 5 na 6
bei inategemea na uwingi wa batery na shape.
zenue batery 4 huwa haziendi umbali mrefu, almost 50km charg imeisha na top speed huwa ni 45km/h na bei inarange from 1.2m hadi 1.5m

zenye batery 6 zinaenda mpaka 70km ndo charg iishe na top speed ni 60km/h na bei ina range from 1.5m hadi 2.3m kutegemeana na aina ya kampuni.
Je hizi kampuni zipo hapa tz, Dar?
 
Back
Top Bottom