Inategemea una nunua ya uwezo gani kila kitu kinatengenezwa kulingana na uwezo wa pesa.Sitaki kujibu mambo mengi ila kwa mbeya hazifai, kwa milima hiyooo.
Pia nyingi nzuri huenda kwa 60Km kwa full charge
Inategemea una nunua ya uwezo gani kila kitu kinatengenezwa kulingana na uwezo wa pesa.
Unaweza kununua hii
Speed 110km/h
Uwezo km 85 kutembea
Kuchaji masaa 6-8View attachment 2533891
Ndio maana nimetanguliza bei.Sikatai boss. duniani kuna vitu variet na msoko hutegemea sehemu na sehemu. Mimi nimesema ambazo zinapatikana nchini.
huko duniani hadi za 200Km zipo
kwani zile za kuchanganya na pedal hazipatikani....??Inategemea una nunua ya uwezo gani kila kitu kinatengenezwa kulingana na uwezo wa pesa.
Unaweza kununua hii
Speed 110km/h
Uwezo km 85 kutembea
Kuchaji masaa 6-8View attachment 2533891
Hizi kampuni zipo hapa tz ,Darkampuni zinazotamba kuna
linkall
sinoray
jxb
sifa
kuna zenye batery 4, 5 na 6
bei inategemea na uwingi wa batery na shape.
zenue batery 4 huwa haziendi umbali mrefu, almost 50km charg imeisha na top speed huwa ni 45km/h na bei inarange from 1.2m hadi 1.5m
zenye batery 6 zinaenda mpaka 70km ndo charg iishe na top speed ni 60km/h na bei ina range from 1.5m hadi 2.3m kutegemeana na aina ya kampuni.
Je hizi kampuni zipo hapa tz, Dar?kampuni zinazotamba kuna
linkall
sinoray
jxb
sifa
kuna zenye batery 4, 5 na 6
bei inategemea na uwingi wa batery na shape.
zenue batery 4 huwa haziendi umbali mrefu, almost 50km charg imeisha na top speed huwa ni 45km/h na bei inarange from 1.2m hadi 1.5m
zenye batery 6 zinaenda mpaka 70km ndo charg iishe na top speed ni 60km/h na bei ina range from 1.5m hadi 2.3m kutegemeana na aina ya kampuni.
Zipo Mkuu. Kama wahitaji njoo PM karibu sana.Je hizi kampuni zipo hapa tz, Dar?
Atalia mtu sasa hiviKuna jamaa humu Jf mwaka jana alikuwa anauza yupo Zanzibar nzuri na bei rahisi nimeisahau ID yake na ule uzi.
yap mkuu zipo dar na kuna kampuni mpya nimeiona wapo mtaa wa mafia wanapouza vifaa vya pkpk (k.koo)Je hizi kampuni zipo hapa tz, Dar?