Naomba kufahamishwa kuhusu gharama za maisha ndani ya Jiji la Tanga

Naomba kufahamishwa kuhusu gharama za maisha ndani ya Jiji la Tanga

Bro maisha popote wasikutishe. Tupo Tanga na mambo yanaenda. Wa Dar wanaanza kurudi mdogo mdogo.
Sehemu salama kwa makazi ni Sahare, Chumbageni, Nguvumali, Kange uzunguni. Ole wako na Magomeni, Kwanjeka au Majengo.
Kula ya kawaida b/f 1000 lunch 1500 dinner 1500.
Usafiri ni daladala 400 boda ya ppl au baiskeli.
Uchumi ni biashara ya chakula (nafaka), matunda, samaki.
Lakini tu ukiingia HUTOKI
Asante Mkuu kwa maelezo yako.Vipi kuhusu gharama za rental kwa nyumba,chumba na office space?
 
Mji mgumu kama jiwe aisee.
Ila gharama za maisha nafuu sana.

Mnazi Mmoja Msingi hapo mother alifundisha sana[emoji1]
Mkuu,Je ni Mgumu hata kwa mtu anayekuja kutumia tu Pesa na kuzizalisha kutoka sehemu nyingine?
 
[emoji848][emoji848][emoji848]sina taarifa. Ningejua ningeenda muona aisee.

Nilikua tanga mwezi january tarehe 1-6 napuyanga mjini tu

Bado yupo pongwe?
Ndio hivyo kaka.

Bado yupo pongwe, ana Sukaru aisee.

Niliongea na mwanae Omar, unamkumbuka???
 
waenda tu wakajazane,Tz yetu sote
The other time I was thinking about opening a hotel for foreign tourists, there are may be some attractions that will help revive the sector in the region.

Saadani national park
Amboni caves
Raskazone beach
Pangani river
Pangani ujamaa villages
 
Sijawai kufika Tanga ila nadhani si pazuri kwa utafutaji,labda uwe umepata ajira na una uhakika na mshahara wako mwisho wa mwezi.
 
The other time I was thinking about opening a hotel for foreign tourists, there are may be some attractions that will help revive the sector in the region.

Saadani national park
Amboni caves
Raskazone beach
Pangani river
Pangani ujamaa villages
best of luck mkuu
 
Kwa minchi nimekaa sana mitaa hiyo, na chuda. Tanga ukiwa na mtaji maisha ni marahisi sana, mji sio mkubwa na ni mji wa waswahili.
 
Asante Mkuu kwa maelezo yako.Vipi kuhusu gharama za rental kwa nyumba,chumba na office space?
Inategemea na location, chumba kinaanza 5k hadi 50k, upande mmoja 100k hadi 250k.
Hao wanaosema mgumu ni mission town hao, sh 10 hawana mfukoni.
 
Miaka michache iliyopita nilibahatika kuishi Tanga....Machache nayoyajua kuhusu Tanga.

1.Tanga kwa utafutaji bado wapi chini kuna bustani kama zote pale Tanga mjini unakuta mida ya kazi watu wamelala tu kwa ufupi ni wavivu wa Kazi.

2.Katika daladala unaweza ukajikuta abiria wawili au peke yako hasa mida ya mchana mfano ruti za raskazoni-nguvumali sijui kwasababu usafiri wa baskel kama wote

3.Mida ya saa 1 usiku kuna sehemu daladala kupata ni kwa shida naona wanakuwa wanafunga siku tofauti na Dar usafiri muda wote.

4.Kuna soko sijui ndio gulio panaitwa Tangamano kila siku ya jmosi,jumanne na Alhamisi.......unaweza kubahatisha kiatu/nguo/handbags kali kwa bei rahisi.

5.Tanga mjini barabara zake za mitaani nyingi zina rami.

6.Ila Tanga kuna watoto wazuri hatari.
 
Miaka michache iliyopita nilibahatika kuishi Tanga....Machache nayoyajua kuhusu Tanga.

1.Tanga kwa utafutaji bado wapi chini kuna bustani kama zote pale Tanga mjini unakuta mida ya kazi watu wamelala tu kwa ufupi ni wavivu wa Kazi.

2.Katika daladala unaweza ukajikuta abiria wawili au peke yako hasa mida ya mchana mfano ruti za raskazoni-nguvumali sijui kwasababu usafiri wa baskel kama wote

3.Mida ya saa 1 usiku kuna sehemu daladala kupata ni kwa shida naona wanakuwa wanafunga siku tofauti na Dar usafiri muda wote.

4.Kuna soko sijui ndio gulio panaitwa Tangamano kila siku ya jmosi,jumanne na Alhamisi.......unaweza kubahatisha kiatu/nguo/handbags kali kwa bei rahisi.

5.Tanga mjini barabara zake za mitaani nyingi zina rami.

6.Ila Tanga kuna watoto wazuri hatari.
Vipi kuhusu hali ya nyumba ikoje?
 
6.Tanga maji sio shida maji yanapatikan kwa uwingi na ni mazuri mno unaweza ukaingia Tanga ukawa cheusi ila baada ya week chache ukang’aa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

7.Kwa Tanga mjini unaweza kutoka sehemu moja kwenda nyıngıne kwa kutembea tu kwa mıguu bıla ya usafırı hasa mıda ya usıku kwanı mapema watu wengı wameshajıfungıa ndanı na zıle ramı bası full kuenjoy.

8.Sehemu za outıng nı kama vıle Nyumbanı hotel,forodhanı,Le casa pub(chıchı),Mkonge hotel nyıngıne nımesahau majina.... soko kuna moja lipo karıbu na ıle standa ya zamani pale mjını na lıngıne lınaıtwa mabanda ya Papa .

9.Wanapoıshı wakısure kuna raskazonı,sahare nyıngıne mtaongezea wazawa.

10.Beach kuna Tanga beach,beach mavi nyıngıne sıjuı majina ıla ukıtoka bombo hospıtal utazıpata.

11.Kuhusu beı ya vyumba sifahamu kwasababu sıkuwahı kupanga nıkıwa kule ıla nachojua madukanı baadhı vıtu beı hıko juu wanasema wanachuku Dar/Mombasa.

12.Katıka mıkoa nılıyoıshı Tanga kwa upande wangu nımepapenda.....majı yao pıa yamechangıa.
 
Back
Top Bottom